Bomoabomoa yaanza Kinondoni pamoja na kesi kuwa Mahakamani

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,720
55,843
BOMOABOMOA DAR: Ubomoaji nyumba zilizojengwa bila kufuata utaratibu na zile zilizopo mabondeni, waanza tena Suna Kinondoni leo, huku uamuzi wa kesi ya kupinga zoezi hilo ukitarajiwa kutolewa leo.

Sakata la bomoabomoa kwa wakazi wa mabondeni lilichukua sura mpya baada ya mbunge wa Kinondoni (CUF), Maulid Mtulia kufungua kesi katika Mahakama kuu ya Ardhi kupinga ubomoaji wa nyumba bila kutoa njia mbadala za makazi. Lakini hilo hawajali, wanaendelea na ubomoaji.

Kesi hiyo jana iliahirishwa. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, January Makamba alisema hadi jana walikuwa hawajapokea zuio lolote la mahakama, hivyo operesheni hiyo itaendelea.
 
SERIKALI HAINA MAKOSA. Maofisa wapendwa rushwa waliuzia watu maeneo na kuwapa vibali "in personal interest" bila kujua repercussions zitaangukia serikalini wao kama wawakilishi. Kwasasa serikali inafanya inachotakiwa kufanya.
 
SERIKALI HAINA MAKOSA. Maofisa wapendwa rushwa waliuzia watu maeneo na kuwapa vibali "in personal interest" bila kujua repercussions zitaangukia serikalini wao kama wawakilishi. Kwasasa serikali inafanya inachotakiwa kufanya.
Hao maofisa sio sehemu ya serikali???
 
Safi sana. Mpaka tutaheshimiana tu
sijui nikutukane tusijipya ,huyu masikini wa kinondoni akilala nje akuheshimu kwa lipi tena bomoa la utoh au mama lwakatare kwanza .majiccm acheni kuonea dagaa pamba fu
 
Kazi Ndio Msingi wa Maisha, Waliobomolewa Kwa Kutotii Sheria za Nchi:- 1) Kukaa Maeneo Hatarishi na 2)

Kuvamia Maeneo ya Wazi na yenyePublic Interest Basi itoshe Kusema Karibu Huku:-1) Gezaulole, 2)

Mabwepande, 3) Msongola), 4) Chanika, 5) Nyantira, 6) Kivule, 7) Magole, 8)Kimbiji , 9) Songambele na

10) Msongola.Hayo Maeneo Niliyoyataja Bado Yanahitaji Watu na yapo Wazi na Bei za Viwanja Ni

affortable. KaribuniAsbubuhi tu Mtakuwa Mjini Kwa Nauli ya Tsh 500. Ila Mtapamiss Kwa Macheni na Kwa

Mnyamani, PiaMtayamisi Maisha ya Kupewa Misaada Na Serikali Kama Mlivyozoea wakati wa Mafuriko

Nimeyatajia Maeneo Ili Mpate Kujiongeza Kuchangamkia sehemu za Kuishi na Familia zenu Kwani Maisha

sio Lazima Uishi katikati ya Mji ndio Maisha Yaende.

NB: Pia Mtazimisi Kelele za Magari Mlizozizoea Siku Zote Na Kinyume Chake Mtaenjoy Sauti Nzuri za ndege

kama Bundi warukao usiku Kuzunguka Nyumba zenu. Karibuni Ndg zetu Maisha Ni popote Mtazoea

kama sisi tulivyozoea na afya zetu ni nzuri ajabu. Hii Zama Ni Nyingine lililobaki Kwenu Ni Kutii wala

Hamana jinsi ya Kuwaepusha na Rungu Hili.
 
Last edited:
BOMOABOMOA DAR: Ubomoaji nyumba zilizojengwa bila kufuata utaratibu na zile zilizopo mabondeni, waanza tena Suna Kinondoni leo, huku uamuzi wa kesi ya kupinga zoezi hilo ukitarajiwa kutolewa leo.

Sakata la bomoabomoa kwa wakazi wa mabondeni lilichukua sura mpya baada ya mbunge wa Kinondoni (CUF), Maulid Mtulia kufungua kesi katika Mahakama kuu ya Ardhi kupinga ubomoaji wa nyumba bila kutoa njia mbadala za makazi. Lakini hilo hawajali, wanaendelea na ubomoaji.

Kesi hiyo jana iliahirishwa. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, January Makamba alisema hadi jana walikuwa hawajapokea zuio lolote la mahakama, hivyo operesheni hiyo itaendelea.
Utawala wa sheria tunaouzungumzia sijui uko wapi? Inasikitisha sana kwa kweli.
 
Zoezi halijazuiliwa na mtu yeyote yule...case kuwa mahakamani hakuzuiii zoezi kuendelea...

Hakuna zuio la mahakama kwenye zoezi hilo hivyo ni haki kuendelea kabisa....
 
SERIKALI HAINA MAKOSA. Maofisa wapendwa rushwa waliuzia watu maeneo na kuwapa vibali "in personal interest" bila kujua repercussions zitaangukia serikalini wao kama wawakilishi. Kwasasa serikali inafanya inachotakiwa kufanya.
hivi huko hakuna umeme,maji,barabara na shule,zilijijenga?
 
SERIKALI HAINA MAKOSA. Maofisa wapendwa rushwa waliuzia watu maeneo na kuwapa vibali "in personal interest" bila kujua repercussions zitaangukia serikalini wao kama wawakilishi. Kwasasa serikali inafanya inachotakiwa kufanya.
Hapo ndio huwa naamini kuwa shule hazikupaswa kujengwa Africa, sasa serikali ni nani na hao maofisa ni akina nani!?
 
BOMOABOMOA DAR: Ubomoaji nyumba zilizojengwa bila kufuata utaratibu na zile zilizopo mabondeni, waanza tena Suna Kinondoni leo, huku uamuzi wa kesi ya kupinga zoezi hilo ukitarajiwa kutolewa leo.

Sakata la bomoabomoa kwa wakazi wa mabondeni lilichukua sura mpya baada ya mbunge wa Kinondoni (CUF), Maulid Mtulia kufungua kesi katika Mahakama kuu ya Ardhi kupinga ubomoaji wa nyumba bila kutoa njia mbadala za makazi. Lakini hilo hawajali, wanaendelea na ubomoaji.

Kesi hiyo jana iliahirishwa. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, January Makamba alisema hadi jana walikuwa hawajapokea zuio lolote la mahakama, hivyo operesheni hiyo itaendelea.

Shukrani kwa info. Na WaTanzania tuwe WAKWELI. Hivi ni sahihi kuendelea kuuacha huo uchafu, uozo na uharibifu wa mazingira uliosababishwa na uzembe na udhaifu wa huko nyuma, kisa tuwaonee huruma wananchi maskini? Acheni mawazo migando...tunajiangamiza wenyewe!
 


Waziri Makamba wakati wenzake wanaangaika kutumbua majipu ya wizara zao kwake kakufumbia macho mbona mazingira machafu hayaoni yanayo muhusu kazi kudandia train za wenzake wakati kipindu pindu bado ni tatizo kwenye jamii.

Tatizo la hawa jamaa ni madharau kwa wananchi maskini na maamuzi yasiyo zingatia utu wala vilio vya raia.
 
sijui nikutukane tusijipya ,huyu masikini wa kinondoni akilala nje akuheshimu kwa lipi tena bomoa la utoh au mama lwakatare kwanza .majiccm acheni kuonea dagaa pamba fu
Huyo masikini Nyumba yake inapojaa maji kwa mwezi mzima huwa anaenda kuishi wapi Muda huo.


Je mafuriko yakitokea usiku nani Wa kulaumiwa@ chagadema/ wabadilisha gia za angani
 
Back
Top Bottom