Bomoabomoa ya nyumba za wakazi wa kijiji cha Komarera yashika kasi ,Wilaya ya Tarime mkoani Mara

peno hasegawa

JF-Expert Member
Feb 24, 2016
12,804
21,401
Heche alia bomoabomoa

Mbunge wa zamani wa Tarime vijijini, John Heche amemwomba Waziri wa Madini, Dk Dotto Biteko, kuingilia kati bomoabomoa ya nyumba za wakazi wa kijiji cha Komarera Wilaya ya Tarime mkoani Mara, kupisha shughuli za uchimbaji madini za mgodi wa Barrick North Mara.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza jana, Heche ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, alisema bomoabomoa hiyo siyo tu imekumba hadi baadhi ya nyumba zenye zuio la Mahakama, bali pia inahusisha nyumba za watu ambao ama hawajalipwa fidia au fidia yao ni ndogo kulinganisha na thamani ya mali zao.

“Hivi tunavyozungumza wapo wanawake, watoto na wazee wanalala nje kwa kukosa makazi baada ya nyumba zao kubomolewa chini ya ulinzi wa vyombo vya dola; namsihi Waziri wa Madini, ndugu yangu Dotto Biteko aingilie kati suala hili, maana linaelekea kuushinda uongozi wa Serikali Wilaya ya Tarime na Mkoa wa Mara,” alisema Heche.

Akizungumzia ombi hilo, Dk Biteko alisema suala hilo tayari linafanyiwa kazi kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa mujibu wa sheria na kuwasihi wananchi wenye malalamiko kutumia njia sahihi kuyawasilisha katika mamlaka husika kwa utatuzi.

“Suala la fidia Nyamongo liko chini Wizara ya Ardhi na tayari mchakato unaendelea, ikiwemo tathmini ya mali na malipo kwa wahusika kwa mujibu wa sheria. Kama kutakuwa na hitaji la wizara nyingine kusaidia Serikali itafanya hivyo kwa ajili ya kutoa haki kwa pande zote husika,” alisema Dk Biteko.

Madai ya tegesha
Akizungumzia malipo ya fidia, Heche alisema hadi sasa, zaidi ya watu 5,273 kati ya watu 6,847 wanaotakiwa kuhama kupisha shughuli za uchimbaji madini wamenyimwa malipo ya fidia ya mali zao, wakidaiwa kuyategesha baada ya kupata taarifa za maeneo yao kuhitajiwa na mgodi.

Alisema hata hao wananchi zaidi ya 1,000 waliokubaliwa malipo ya fidia nao wana malalamiko ya ama kiwango cha fidia kuwa kidogo kulinganisha na thamani halisi ya mali au malipo yao kutoonekana katika kumbukumbu, huku wengine wakidaiwa kuwa tayari wamelipwa wakati wahusika bado hawajapokea fedha.

Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Michael Mtenjele alisema wanaobomolewa nyumba ni ambao tayari walilipwa fidia na kuwaomba wananchi waliopokea fidia kuondoa mali zao, ikiwemo nyumba, mbao, matofali, mabati kwa hiari badala ya kusubiri kubomolewa.
 
10 May 2020

Tanzania: Govt. resolves ten-year-old compensation dispute between local community & Barrick Gold​

" Nyamongo Villagers Now to Be Compensated "
Tanzania Daily News (Dar es Salaam)
By Mugini Jacob in Mara
PRESIDENT John Magufuli has resolved a compensation dispute that existed between Nyamongo villagers in Tarime District and North Mara Gold Mine for more than 10 years.

The President has also instructed each acre to paid 6m/-, instead of 4,200,000/-. About 1,600 people are expected to be compensated from the gold mine currently operated by Barrick Gold Corporation.

Mara Regional Commissioner (RC), Adam Malima revealed such developments when conveying the President's greetings to Nyamongo villagers early this week...

Earlier the expected payment per acre was 4,200,000/-but the villagers who had been asking for compensation requested the rate to be increased through Tarime District Commissioner (DC) Mtemi Msafiri.

The DC forwarded the request to higher authorities for consideration. Mr Malima further said the villagers who would be compensated were advised to open bank accounts for security purposes.

The compensation targets villages around the gold mine, including Matongo and Nyabichune villagers. "Despite this compensation is your right, but it will help improve your relationship with the gold mine," Mr Malima told the villagers.

Several villagers who spoke to this paper thanked the government for considering them. "

16 March 2014 African Barrick Gold recently tried to take the claimants to court in Tanzania, a move one High Court judge described as a “Tanzanian torpedo” because it appeared to be an attempt to undermine the case in Britain. The puzzle of Barrick Gold mine versus community conflict
 
Makampuni ya kimataifa yana nguvu sana, mfano TRA VS

AFRICAN BARRICK GOLD kesi mahakama ya rufaa Tanzania

Commissioner General Tanzania Revenue Authority vs African Barrick Gold PLC​


THE COURT OF APPEAL OF TANZANIA AT DAR-ES-SALAAM fCORAM: MUGASHA, 3.A.. KAIRO. 3.A. And MAKUNGU. J.A.I

CIVIL APPEAL NO. 11 OF 2020 COMMISSIONER GENERAL TANZANIA REVENUE AUTHORITY..................................................APPELLANT

VERSUS

AFRICAN BARRICK GOLD PLC....................................................RESPONDENT

(Appeal from the Judgement and Decree of the Tax Revenue Appeals Tribunal at Mwanza)(Mr. Justice Dr. F. Twaib, Chairman, Prof. Doriye. Member and Mr. W. Ndyetabula)dated 1st Day of October, 2012 in Tax Appeal No. 5 of 2012^. JUDGMENT OF THE COURT 14th & 17th March, 2022 MUGASHA. J.A.: The appel ...

notice on existence of liability to pay tax amounting to USD 21,336,931 on investment income that accrued on the sale of interest in land on Nyanzaga project

"... subsection (1) limits the circumstances in whichone may seek redress by way of an appeal to theTRAB against the decision of the Commissioner.Under subsection (2), a person who objects a noticeissued by the Commissioner General with regards tothe existence of liability to pay tax, duty, fees, levyor charge may refer his objection to the Board fordetermination. Thus, the remedy on the objectednotice before the Board is by way of reference andnot an appeal as suggested by Dr. Mwiburi. "In the present matter, it is settled that the appellant's letter found at page 12 of the record of appeal constituted notice on existence of liability to pay tax amounting to USD 21,336,931 on investment income that accrued on the sale of interest in land on Nyanzaga project located in the United Republic.At this juncture, it is worthy to restate the obvious that the jurisdiction of courts or tribunals is a creature of statute. Therefore, the question of jurisdiction is so fundamental and as a matter of practice, at the commencement of the trial, the courts or tribunals must be certain of their jurisdictional position, determine whether vested with requisite jurisdiction because it goes to the very root of the authority. This has be.....

Court name
Court of Appeal of Tanzania
Registry
Court of Appeal Dar es Salaam Registry
Case number
Civil Appeal Case 11 of 2020

Commissioner General Tanzania Revenue Authority vs African Barrick Gold PLC (Civil Appeal Case 11 of 2020) [2022] TZCA 119 (17 March 2022)​

 
Wenye nguvu huwa wagumu


Withholding taxes on dividend payments amounting to USD 81,843,127

IN THE COURT OF APPEAL OF TANZANIA AT DODOMA(CORAM:JUMA,C.J., MUGASHA,J.A. And NDIKA,J.A.)

CIVIL APPEAL NO.144 OF 2018 AFRICAN BARRICK GOLD PLC.............................................................APPELLANT

VERSUS

COMMISSIONER GENERAL TANZANIA REVENUE AUTHORITY...........................................RESPONDENT

(Appeal from the Judgment and Decree of the Tax Revenue Appeals Tribunals at Dar-es-Salaam) (Dr.Twaib J.-Chairman) dated the 31st day of March, 2016 in Tax Appeal No.16 of 2015 JUDGMENT OF THE COURT 2nd June, 2020, 3rd August 2020 & 31st August, 2020 JUMA,C.J.:

This second appeal pits the AFRICAN BARRICK GOLD PLC as the appellant, against the COMMISSIONER GENERAL OF THE TANZANIA REVENUE AUTHORITY as therespondent.

The appellant is a company incorporated in the United Kingdom and holding shares in three mining entities in Tanzania.

The three entities are Bulyanhulu Gold Mine Limited; North Mara Gold Mine Limited; and PANGEA Minerals Limited.

PANGEA operates the Tulawaka Gold Mine and the Buzwagi Gold Mine. The respondent is a statutory body corporate that was established .....

......registrations, the respondent obliged the appellant to comply with its statutory tax obligations in Tanzania which include, filing of statutory returns prescribed under the ITA, 2004 and VATAct, 1997. As a tax resident in Tanzania, the appellant was asked to remit with holding taxes on dividend payments amounting to USD 81,843,127 which the company allegedly made for the years 2010, 2011, 2012 and 2013 (this sum was subsequently reduced to USD 41,250,426). The appellant was also required to remit with holding taxes on payments which the appellant's mining entities in Tanzania made out to the appellant, together with payments which the appellant made to other non-resident persons (its shareholders) for the service rendered between 2010 up to September 2013. The respondent also demanded stamp duty on instruments that were executedrelating to the conducting of the appellant's business activities in Tanzania. In evitably, the appellant was dissatisfied with the demand to pay with holding tax on dividend which the appellant allegedly paid to its shareholders. On21/11/2013, the appellant filed its Statement of Appeal to initiate an appeal to the trial Board. In its pleadings to the Board, the appellant was resolute that, being a holding company incorporated in the United Kingdom .....

Court name
Court of Appeal of Tanzania
Registry
Court of Appeal Dodoma Registry
Case number
Civil Appeal 144 of 2018

African Barrick Gold PLC vs Commissioner General Tanzania Revenue Authority (Civil Appeal 144 of 2018) [2020] TZCA 1754 (31 August 2020);​

Media neutral citation
[2020] TZCA 1754
 
Hao Barrick huwa wako makini sana kabla hawajachukua hatua kwa jamii, Maana wanamikataba ya kimataifa inayowafunga na wanamaadui wengi ambao wakisikia vitu kama hivyo haraka wanawachafua kimataifa na kuathili biashara yao.

Naamini kuna taarifa zitakuwa haziko sawa, kuhusu hilo tukio.
 
Mengi sana yanaonesha udhaifu wa serikali ya CCM katika kulinda haki za wenyeji katika maeneo yao unapotokea uwekezaji listi ni ndefu, huku CCM na serikali yake inajinasubu kuwa Rais ana umiliki wa ardhi yote kwa niaba ya raia wote wa Tanzania lakini inapofika maslahi ya hao raia hayalindwi serikali ya CCM kwa niaba ya wananchi haifanyi jitihada kutimiza wajibu wake kisheria na kikatiba kwa niaba ya wananchi

IN THE COURT OF APPEAL OF TANZANIA AT MWANZA(CORAM: LUANDA. J.A.. MMILLA. J.A.. And MKUYE. J.A.)

CIVIL APPEAL NO. 50 OF 2017

GENERAL MANAGER AFRICAN BARRICK GOLD MINE LTD........................................................ APPELLANT

VERSUS

CHACHA KIGUHA................................................................Ist RESPONDENT

NEEMA CHACHA...............................................................................2nd RESPONDENT

BHOKE CHACHA (a minor by his next friendCHACHA KIGUHA)........................................................................... 3rd RESPONDENT

KIGUHA CHACHA (a minor by his next friendCHACHA KIGUHA)...........................................................................4™ RESPONDENT

MOTONGORI CHACHA (a minor by his next friend NEEMA CHACHA)............................................................................. 5th RESPONDENT

SURATI CHACHA (a minor by his next friendNEEMA CHACHA)............................................................................. 6th RESPONDENT

(Appeal from the decision of the High Court of Tanzania at Mwanza)(Mlacha, J.) Dated the 3rd day of August, 2016 in Civil Case No. 9 of 2013 RULING OF THE COURT4th & 12th December, 2017. LUANDA. J. A.:

In the High Court of Tanzania at Mwanza, Chacha Kiguha and five others (the respondents) successfully sued the General Manager of African Barrick Gold Mine Ltd. (the appellant) for damages arising from negligence.

It was the case for the respondent at the trial that the appellant failed take care when carrying mining activities as a result the respondents suffered pain, respiratory infection and permanent disabilities.

At the end of the trial, as we have said earlier on, the respondents emerged the winners. The appellant is not satisfied with the finding of the trial High Court, he has preferred this appeal.

Somehow, it would appear the respondents separately engaged two advocates to represent them and they did not disclose that information to the advocates concerned so that they could join forces so to speak.

We are saying so because on 16/10/2017 Mr. Ndurumah Majembe, learned advocate filed a notice of change of advocate as well as the notice of preliminary objection.

Meaning from that day he was the sole advocate representing the respondents. But on 29/11/2017 Mr. Mashaka Fadhili Tuguta from Kabonde and Magoiga Law Firm (Advocates) filed yet another notice of preliminary objection on behalf of the same respondents.

Unlike Mr. Majembe, Mr. Tuguta did not file a notice of change of advocate. After a short dialogue in which Mr. Sylveri Byabusha, learned counsel for the appellant also took part the dust settled when Mr. Majembe informed the Court that both advocates were representing the respondents.

Following that clarification, we allowed both advocates to represent the respondents .......

..... therefore that the record of appeal infringes Rule 96 (1) (f) of the Rules. The record of appeal does not contain exhibits.

The omission by the appellant to put on the record of appeal the aforestated exhibits renders the appeal incompetent (See Pendo case, Mazher case cited supra).

The objection raised has merit. The appeal is struck out with costs.

It is so ordered.DATED at MWANZA this 12th day of December, 2017.

Signed
B. M. LUANDA JUSTICE OF APPEAL
B. M. MMILLA JUSTICE OF APPEAL
R. K. MKUYE JUSTICE OF APPEAL

I certify that this is a true copy of the original.

READ MORE : General Manager African Barrick Gold Mine Ltd vs Chacha Kiguha & Others (Civil Appeal 50 of 2017) [2017] TZCA 211 (12 December 2017); | Tanzlii
 
21/12/2022
Tarime Tanzania

KILIO CHA WANANCHI WA NYAMONGO



Nyamongo, wilaya ya Tarime, mkoa wa Mara, Tanzania. Hiki ni kilio cha wananchi wanaobomolewa nyumba zao bila fidia au taarifa asubuhi ya 21/12/2022.

Serikali ilitangaza kuchukua ardhi katika eneo hili kwa lengo la kuhamisha umiliki wa ardhi kwa mgodi wa North Mara.

Baadhi ya wananchi walikataa malipo ya fidia ya ardhi yao kwamba ni kidogo kulinganisha na thamani ya ardhi ...

Source : mwanzo tv
 
17 December 2022

Mbunge wa Tarime vijijini Mwita Waitara (CCM) akishiriki katika shughuli ya Barrick North Mara Family Day 2022


Azungumza mazito kuhusu fedha zinazorudishwa kwa jamii na Barrick kushindwa kuchukuliwa kwa wakati na wahusika ktk Halmashauri ....
Source : Nyamwaga online TV
 
16 December 2022

Mbunge Mwita Waitara (CCM) awatoa hofu wananchi wa Komarera Tarime



Akumbushia wakati wa maadhimisho ya miaka 45 ya tangu kuzaliwa CCM yaliyofanyika kitaifa mkoani Mara alieleza malalamiko ya wananchi wa Komarera kuhusu fidia.

Mbunge wa Tarime Vijijini kupitia CCM Bw. Mwita Waitara almaarufu Chief amesema mambo yapo katika mchakato mzuri wa kufanyiwa tathmini na hivyo wananchi watoe ushirikiano.

Wale ambao wamepata fidia mbunge (chief) Mwita Waitara kuwa wale waliopokea basi watapitiwa na vyombo vya usalama na pia magreda kubomoa ...

Source : Nyamwaga online TV
 
11 November 2022
Tarime, Tanzania

Wachimbaji wadogo wasusa mkutano, wanyanyuka na kutoka ukumbini, walalamika tumeumizwa sana na kufilisiwa


Walaani vitendo vya kufilisi wachimba wadogo wa Nyamongo.

Mgodi mkubwa wa Barrick pia upo katikati ya makaazi ya watu vipi wao wachimbaji wadogo wana pigwa vita na kamishna wa Madini kuwa wanachimba katika makaazi ..... wamkumbuka John Pombe Joseph Magufuli ...
Source : Nyamwaga online TV
 
16 December 2022
Mbunge Mwita Waitara (CCM) awatoa hofu wananchi wa Komarera Tarime


Akumbushia wakati wa maadhimisho ya miaka 45 ya tangu kuzaliwa CCM yaliyofanyika kitaifa mkoani Mara alieleza malalamiko ya wananchi wa Komarera kuhusu fidia.

Mbunge wa Tarime Vijijini kupitia CCM Bw. Mwita Waitara almaarufu Chief amesema mambo yapo katika mchakato mzuri wa kufanyiwa tathmini na hivyo wananchi watoe ushirikiano.

Wale ambao wamepata fidia mbunge (chief) Mwita Waitara kuwa wale waliopokea basi watapitiwa na vyombo vya usalama na pia magreda kubomoa ...

Source : Nyamwaga online TV


8 February 2023
Dodoma, Tanzania

Mbunge Mwita Waitara aingia hofu, baada ya defenda nane kuvamia vijiji wakati yeye yupo bungeni


Mbunge wa Jimbo la Tarime vijijini Mwita Waitara wakati akizungumza nje ya viunga vya ukumbi wa Bunge leo Jumatano, Februari 8,2023 Bungeni Jijini Dodoma
 
Back
Top Bottom