Bomoabomoa Dar yatua rasmi Temeke - Keko wapewa notisi...

Bomoabomoa Dar yatua rasmi Temeke - Keko wapewa notisi...

2020 CCM watajuta na watakuwa wadogo kama "piritoni" na kila goti watapiga lakini haitasaidia.

Tusubiri maana wao wanadhani by 2020 watu watakuwa wamesahau haya wanayoyafanya leo bila huruma.

Nyimbo na mashairi yao havitofua dafu mbele ya kumbukumbu ya mateso na machungu haya.It will always be a bitter memory that won't easily go away.
Mkuu, by now nilidhani upo aware na mfumo wa kitawala wa viongozi africa
If no one is ready to shed bLOOD, never dream of removing a rulling party in Africa...
 
Maelekezo waliyopewa ni kuhakikisha wale wote waliojenga mabondeni , kwenye viwanja vya wazi , juu ya bomba kubwa la majitaka wabomoe nyumba zao kabla ya tarehe Januari 5 .

Hii notisi imebandikwa jana na imesainiwa na mkurugenzi wa manispaa ya Temeke ( nimeiona ).

Wahanga ni pamoja na waliojenga nyuma ya gereza la Keko , Keko Mwanga , Keko Machungwa hasa wale waliojenga kandokando ya mfereji wa maji unaoanzia kota za polisi maarufu kama Mchomba line , wakazi wa Keko juu nao hawajasahaulika hasa walio chini ya Kisiwani bar , tuendelee kutega sikio .
Magufuli anatuonea
 
Wilaya ya tmk ilikuwa na open space za kutosha wajanja wamefanya yao...wabomolewe


Hata ile petrol station na bar pembeni mwa DDC Keko vinavyotazamana na Monalisa pia ni viwanja vya wazi nakumbuka zamani tulikuwa tukicheza mpira maeneo yale sijapita kule mitaa ya nyuma ya DDC miaka mingi kujua kama na lile eneo la wazi la mabembeani bado lipo wazi????!
Ha ha haaa.....pale ilikuwa Open space...sasa Mchina Katia Hela nyingi kajenga maGODOWN yakuuzia TILES....nikipita huko leo nitatwanga Picha
 
2020 CCM watajuta na watakuwa wadogo kama "piritoni" na kila goti watapiga lakini haitasaidia.

Tusubiri maana wao wanadhani by 2020 watu watakuwa wamesahau haya wanayoyafanya leo bila huruma.

Nyimbo na mashairi yao havitofua dafu mbele ya kumbukumbu ya mateso na machungu haya.It will always be a bitter memory that won't easily go away.

Mkuu unashangaza sana, sasa wenye nchi wanavunja sheria wewe hutaki kukubaliana nao, huku ukitishia kutokuwapa kura! Umetushangaza sana, kwahiyo wewe wataka ukivunja sheria uwachwe tu?!
Na kama ulitaka CHADEMA wachukuwe nchi ili wafuasi wake wasifuate sheria za nchi wala taratibu bila shuruti?! Kuna watu humu hujuwi kama wanataka TZ ijengwe au tuendelee kubomoa..
 
Ha ha ha ha lile bonde lina wanyakyusa wengi hatari.Kama nawaona kilio kitakacholipuka huko.
 
2020 CCM watajuta na watakuwa wadogo kama "piritoni" na kila goti watapiga lakini haitasaidia.

Tusubiri maana wao wanadhani by 2020 watu watakuwa wamesahau haya wanayoyafanya leo bila huruma.

Nyimbo na mashairi yao havitofua dafu mbele ya kumbukumbu ya mateso na machungu haya.It will always be a bitter memory that won't easily go away.
mkuu me naona sawa tu wabomoe wanafanya vizuri sanaa ana akili alieona hilo
 
Kujipanga upya ni vizuri tena sana. Haya maeneo yangepimwa kwa teknolojia ya kisiasa maana vitu kama GPS sasa viko mikononi mwa kila mmoja alafu baada ya kupata mitaa barabara, open spaces within hizi slums viwanja hivyo vigawiwe upya kwa first consideration kuwa kwa wamiliki wa sasa.
Hii maana yake ni kuwa kwa maeneo kama Keko ukipima kiwanja cha medium density kitakuwa kinachukua nyumba za sasa kama sita labda, katika hizo nyumba sita mmojawapo wa wamiliki ndio waangaliwe.
Ninachoogopa hapa ni kuwahamisha watu kwa kisingizio cha kujenga bila vibali alafu wakaja kuletwa watu wengine wasio hata na shida ya viwanja mradi wana pesa zao chafu na kumilikishwa haya maeneo. Mfano rahisi ni Jangwani maana wakati wengine wanahamishwa kuna mjengo mkubwa unafanyiwa finishing na hauguswi!
 
Pale monalisa mpya kulikuwa na mizani zamani magari yalikuwa yanakuja kupima uzito,sasa sijui ikawaje nikaona watu wameshauziana mali ya serikali kiaina na kununua baadhi ya majirani.Ila nae Mzee wa "Bekari"pale alipojenga kituo cha mafuta nakumbuka kilikuwa kiwanja cha wazi na tulishacheza mpira kipindi cha nyuma sijui itakuwaje hatma yake!
Baada ya uchaguzi kwisha yule mwarabu mwenye bakery amewauzia watu wengine kile kituo cha mafuta na hivi sasa wanakikarabati upya , inasemekana ni wachina .
 
Mabembeani kupo open mkuu upo wap sasa ivii
Hapo ndiyo sehemu ya kulia unga hivi sasa , ni free zone hakuna polisi anagusa pale , kamari zote unazozijua ziko pale , bangi zote zinazolimwa africa zinapatikana , japo ya malawi ndiyo inayosifiwa sana .
 
Mkuu nachota kuuliza ni vipaumbele vya jpm ilikuwa kubomoa au kujega viwanda kila sehemu kutoa elimu bure million 50 kila Kijiji sasa kinachoendelea sasa hiv mm sielewi ndo ivo viwanda na maisha bora huu ndo utetezi Wa wanyonge kwan uboreshe hapa wakati tz nikubwa ajabu jenga mji Wa mfano uko mikoan then watu watafata hizo Huduma utakuwa umepunguza watu mjini na utaweza Fanya unavyotaka sasa kama watu unawabolea pia awana kazi sasa wataishije??? Kama sio kuwauwa kwa presha au ndo creat new world oder
 
Wacha waisome namba eee (waisome namba) CCM mbele kwa mbele...
Waacheni waandamane eeh (wasage lami), CCM mbele kwa mbele....
 
Mkuu nachota kuuliza ni vipaumbele vya jpm ilikuwa kubomoa au kujega viwanda kila sehemu kutoa elimu bure million 50 kila Kijiji sasa kinachoendelea sasa hiv mm sielewi ndo ivo viwanda na maisha bora huu ndo utetezi Wa wanyonge kwan uboreshe hapa wakati tz nikubwa ajabu jenga mji Wa mfano uko mikoan then watu watafata hizo Huduma utakuwa umepunguza watu mjini na utaweza Fanya unavyotaka sasa kama watu unawabolea pia awana kazi sasa wataishije??? Kama sio kuwauwa kwa presha au ndo creat new world oder

Saivi anatafuta kasi kwa kujenga displini ya watu kuheshim sheria. Penye open spesi paonekane, alojenga juu ya bomba la gesi apishe kwanza nk. Haya si mambo ya kupuuzwa kwa ustaw wa jamii. Mengne yatafata tu kwanza watendaj ndo wamepatkana juz tu.
 
Tunapo itaka Sehemu ifananene na Singapore hatuna budi kukubaliana na mabadiliko ya kweli. Na mabadiliko ya kweli ni pamoja na haya. Hongera Magufuli.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Back
Top Bottom