Bomoabomoa Dar yatua rasmi Temeke - Keko wapewa notisi...

Bomoabomoa Dar yatua rasmi Temeke - Keko wapewa notisi...

Wacheni jiji lipangwe tupate maji na huduma za muhimu, mtamkubali Lukuvi na Makamba mkiona mambo sawa kwa sasa mnajitoa fahamu.
 
Wizarra ya maliasili keko nayo ukweli imejekwa bondeni na kiwanja cha wazi.
 
Mkuu hili li nchi dawa yake ni katiba tu! Pombe atupatie ile katiba ya Warioba!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Hiyo katiba ya warioba katika sakata la bomoabomoa inakusaidia nn wakati ile ilikuwa ya serikali tatu na ile ilikuwa ya serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye rais wake hamiliki ardhi…!!
 
Back
Top Bottom