Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,545
- 284,047
- Thread starter
- #21
Eneo lile linaitwa keko molemo , sina taarifa zake , nitafanya uchunguzi .mkuu na zile pale kweny bonde mkabala na wizara ya mali asili na utalii nazo zimo?
Eneo lile linaitwa keko molemo , sina taarifa zake , nitafanya uchunguzi .mkuu na zile pale kweny bonde mkabala na wizara ya mali asili na utalii nazo zimo?
Sasa hivi wanatembelea Akili za Le Mutuz hawajui kuna leo na kesho wanadhani Watanzania bado ni wepesi wa kusahau2020 CCM watajuta na watakuwa wadogo kama "piritoni" na kila goti watapiga lakini haitasaidia.
Tusubiri maana wao wanadhani by 2020 watu watakuwa wamesahau haya wanayoyafanya leo bila huruma.
Nyimbo na mashairi yao havitofua dafu mbele ya kumbukumbu ya mateso na machungu haya.It will always be a bitter memory that won't easily go away.
Keko mwanga,keko akida,keko machungwa duh!Maelekezo waliyopewa ni kuhakikisha wale wote waliojenga mabondeni , kwenye viwanja vya wazi , juu ya bomba kubwa la majitaka wanaobomoa nyumba zao kabla ya tarehe 5 january , hii notisi imebandikwa jana na imesainiwa na mkurugenzi wa manispaa ya Temeke ( nimeiona )
wahanga ni pamoja na waliojenga nyuma ya gereza la keko , keko mwanga , keko machungwa hasa wale waliojenga kandokando ya mfereji wa maji unaoanzia kota za polisi maarufu kama mchomba line , wakazi wa keko juu nao hawajasahaulika hasa walio chini ya kisiwani bar , tuendelee kutega sikio .
Hakuna anayelalamika mjomba , sisi jf kazi yetu ni kutoa taarifa tu ili wewe uwe wa kwanza kufahamu .Kwa hiyo nyinyi mnaolalamika mnataka nyumba za mabondeni zisibomolewe
Hebu na wewe tulia huko. Unajifanya mjanja wakati CCM inachukua zenji kama kawa na mtakubali Tu.watanganyika nyny ni wanafiki na watu wa ajabu kabisa, akili zenu nyny ata kuku ana astaghafiru, nakuambia 2020 hayo yote mtayasahau na ccm itashinda kwa asilimia 90%. ccm yenyewe imeshawasoma na ndo mana ina kiburi cha kufanya yote hayo
Duh ni kweli. Dar karibu wote waliipigia UKAWA, hivyo lazima waisome namba! Hapakazitu!Mnataka kuwanyima kura Mara ngapi..lol. Kura kibao walikosa Dar.
pale mkuu hata kuwe na jua kias gani lkn bonde lile lazma utakuta "nyekenyeke" ya maji machafuPale ndo wajanja wanajificha lunch time haziwezi kuvunjwa. Nje nyumba za hovyo, ndani kuna furniture za bei ghali.
Mkuu bora kura wakose lakini nchi iwe na discipline. Kuendekeza kura za watu wasiofuata sheria ndiyo chanzo cha matatizo. Leo kuna watu wamerejea Jangwani eti wanasema hawana pa kwenda baada ya kubomolewa na mtu anasema LIVE mie siondoki najiandaa kufia hapa tarehe tano!!! Huu si utani kwa serikali.2020 CCM watajuta na watakuwa wadogo kama "piritoni" na kila goti watapiga lakini haitasaidia.
Tusubiri maana wao wanadhani by 2020 watu watakuwa wamesahau haya wanayoyafanya leo bila huruma.
Nyimbo na mashairi yao havitofua dafu mbele ya kumbukumbu ya mateso na machungu haya.It will always be a bitter memory that won't easily go away.
sawa mkuu lile eneo niliwahi kukaa ni chafu kiamaEneo lile linaitwa keko molemo , sina taarifa zake , nitafanya uchunguzi .
kama ni kweli huu ndio wakati wa kusoma number mana mliambiwa na bwana chekacheka kuwa anakuja mkali, hapa utawala wa shera tu, hakuna namna nyingine ya kuwanusuru.Maelekezo waliyopewa ni kuhakikisha wale wote waliojenga mabondeni , kwenye viwanja vya wazi , juu ya bomba kubwa la majitaka wanaobomoa nyumba zao kabla ya tarehe 5 january , hii notisi imebandikwa jana na imesainiwa na mkurugenzi wa manispaa ya Temeke ( nimeiona )
wahanga ni pamoja na waliojenga nyuma ya gereza la keko , keko mwanga , keko machungwa hasa wale waliojenga kandokando ya mfereji wa maji unaoanzia kota za polisi maarufu kama mchomba line , wakazi wa keko juu nao hawajasahaulika hasa walio chini ya kisiwani bar , tuendelee kutega sikio .
afadhali ya sisi tunaikataa kwa vitendo, wanachukua kwa mabavu lkn nyny inawanyanyasa mnailani na kuitukana ikifika wakati wa uchaguzi mnaichagua, kuna ujinga wa mwisho zaid ya huo?Hebu na wewe tulia huko. Unajifanya mjanja wakati CCM inachukua zenji kama kawa na mtakubali Tu.
tena nyny ni wepesi wa kusahau zaid ya kuku, sikutarajia kwa ishu ile ya escrow kama watanganyka mungeirejesha ccm madarakani, duh nyny ni wanafiki sijapata kuonaSasa hivi wanatembelea Akili za Le Mutuz hawajui kuna leo na kesho wanadhani Watanzania bado ni wepesi wa kusahau
Magufuli hana utani na wabongo.upumbavu gani sasa wanaowafanyia lakini?Huu mpango wa kubomoa wanao kitambo sasa wangetoa notisi hata mwezi kabla ili mtu ajipange pa kwenda na ikiwezekana abomoe mwenyewe atoe vitu vyake vya muhimu?
sasa notisi wamebendika jana tr 2 inamaana wanawapa siku mbili tu? sio fair!!!
Ujinga ni nyie kudhani bara wanachukia CCM kisa wana UKAWA fulani wanajua kupiga kelele. CCM bado inapendwa na hata hapo unguja bado ina mizizi. Sema tu round hii inaonekana kila mtu alipiga kura huko Pemba hata ambao hawapo kwenye daftari la kupiga kura. Subiri uone maajabu round 2 tuone kama utasema sheikh.afadhali ya sisi tunaikataa kwa vitendo, wanachukua kwa mabavu lkn nyny inawanyanyasa mnailani na kuitukana ikifika wakati wa uchaguzi mnaichagua, kuna ujinga wa mwisho zaid ya huo?
sasa kama mnaipenda mnalalamika nini, tulieni dawa iwaingie pumbav zenuUjinga ni nyie kudhani bara wanachukia CCM kisa wana UKAWA fulani wanajua kupiga kelele. CCM bado inapendwa na hata hapo unguja bado ina mizizi. Sema tu round hii inaonekana kila mtu alipiga kura huko Pemba hata ambao hawapo kwenye daftari la kupiga kura. Subiri uone maajabu round 2 tuone kama utasema sheikh.
2020 CCM watajuta na watakuwa wadogo kama "piritoni" na kila goti watapiga lakini haitasaidia.
Tusubiri maana wao wanadhani by 2020 watu watakuwa wamesahau haya wanayoyafanya leo bila huruma.
Nyimbo na mashairi yao havitofua dafu mbele ya kumbukumbu ya mateso na machungu haya.It will always be a bitter memory that won't easily go away.