dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,955
- 9,531
Nimempigia simu amenusurika bhana, daah anasema kila nyumba ilibandikiwa tangazo... Duuh hadi monalisa?? Shkamoo magufuli
Wale MONALISA ni WAHUNI pale palikuwa na Kiwanja cha Mpira na njia ya kwenda KEKO TOROLI waroho wa manispaa ya Tmk wamemuingiza chaka mchina wakibomoa pale ntatoa shikamoo kwa Magufuli