Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,693
- 26,213
fala babaa'ko.we jamaa ni fala sana..hubadiliki
fala babaa'ko.we jamaa ni fala sana..hubadiliki
Wakorofi mtalia sana awamu hiiTuna uongozi katili sana, kama wangetangaza hata siku moja kabla halafu wahusika wakakaidi ningewaelewa, lakini 2006 hadi leo!!!!
Magufuli angalia uonevu huu, ninalaani jambo hili sana
Huna akili tu mkuu. Mnapewa taarifa mnadharau. Sasa hiyo ndio faida ya ukaidi wenuTuna uongozi katili sana, kama wangetangaza hata siku moja kabla halafu wahusika wakakaidi ningewaelewa, lakini 2006 hadi leo!!!!
Magufuli angalia uonevu huu, ninalaani jambo hili sana
Hatuwezi kuacha Nchi iharibike hata siku moja. Wote mliovamia maeneo ya barabara na mengine yote ya public mtasaga menoTB joshua alikuja tanzania akiwa peku,kibiblia hizi ni sehemu ya ishara ya kuonyesha mwenyezi mungu kuchukizwa.
tumeona matetemeko bukoba,tunaona mvua zimegoma,uchumi umerudi miaka 20 nyuma
Fuateni sheria mtakuwa salama na amaniuongozi huu wa hila na fitina hauwezi kutufikisha popote.
Huyu ni rais wa kusimamia haki usawa na sheria. Ukiambiwa kitu na unajifanya mkaidi lazima ushughulikiweAliyechaguliwa na kujiita mtetezi wa wanyonge yupo wapi leo? ninaona giza huko mbele tunapoelekea wafanya biashara wapo mguu nje mguu ndani utumishi wa uma umekuwa kama kaa la moto hiii hatari kwakweli
nani hafati sheria??Fuateni sheria mtakuwa salama na amani
Aaah wapi. Tafuta chakula ule ushibe ukalale huko. Huna kitu kichwani wewe. Yaani mvamie maeneo ya barabara halafu muachwe tu. Who are you?nani hafati sheria??
huu ulevi wa madaraka unawafanya CCM mjione Mungu watu ila mwisho wenu unakaribia.
Acheni ujinga. Nunueni viwanja vya halali muone kama haya yatawakuta na kama kuna mtu atawagusaRoho ya umungu mtu inazidi kuendelea kwa waliopewa nafasi kubwa katika serikali hii