Nyumba zipatazo 1,400(Elfu moja mia nne), zimeanza kuvunjwa, kwa amri ya uongozi wa jiiji la Kigali.
Nyumba hizi zinazovunjwa, inasemekana zilijengwa pasipo kufuata taratibu. Cha kushanhaza, wenye nyumba wana hati miliki, na hiyo hutolewa na uongozi. Wanaovunjiwa, waliambiwa hawakujenga kufuatana na vibali walivyopewa, ikisemekana wapo walioomba kujenga fensi, wakajenga nyumba. Wengine kujenga vyoo na majiko, wao wakafanya marekebisho ya nyumba kubwa.
Wengine pia, huambiwa wapo katika maeneo hatarishi.
Katika zoezi hili, kila familia hupewa pesa ya kodi ya muda wa miezi 3, na haijalishi ulikuwa na nyumba za kupangisha au ni wewe mwenyewe. Familia zinazopewa hela, ni wenye nyumba si wapangaji.
Nyumba hizi zinazovunjwa, inasemekana zilijengwa pasipo kufuata taratibu. Cha kushanhaza, wenye nyumba wana hati miliki, na hiyo hutolewa na uongozi. Wanaovunjiwa, waliambiwa hawakujenga kufuatana na vibali walivyopewa, ikisemekana wapo walioomba kujenga fensi, wakajenga nyumba. Wengine kujenga vyoo na majiko, wao wakafanya marekebisho ya nyumba kubwa.
Wengine pia, huambiwa wapo katika maeneo hatarishi.
Katika zoezi hili, kila familia hupewa pesa ya kodi ya muda wa miezi 3, na haijalishi ulikuwa na nyumba za kupangisha au ni wewe mwenyewe. Familia zinazopewa hela, ni wenye nyumba si wapangaji.