Bomoa bomoa isiishieee kwa watu maskini

Bomoa bomoa isiishieee kwa watu maskini

Juma1973

Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
42
Reaction score
14
Mh waziri wa ardhi pamoja na mh makamba huo moto wenu mliouanza usiwe moto wa mabua kutoa mikauliii tu pasina kuchukuliwa hatua stahiki ningependa mfahamu musha waua watu kwaajili ya hili zoezi sasa waheshimiwa isije ikawa ni kwa hawa tuu maana tushaziona ishara za vigogo kutaka kuzuia zoezi hili lisiendeleee.
 
Back
Top Bottom