tumesahau kabisa issue ya Bombadia yetu kukamatwa huko Ughaibuni
kwa wenye taarifa inatua lini? Je serikali imeshindwa kuwalipa wadaiwa wetu?
Mbona taarifa ambazo tulikuwa nazo wanasema walikuwa kwenye hatua za mwisho ya mazungumzo?
Mazungumzo yali fail? Mbona serikali imekaa kimya?
Serikali tuambie Bombadia yetu inatua lini? Ni kodi zetu tuna haki ya kujua kinachoendelea
kwa wenye taarifa inatua lini? Je serikali imeshindwa kuwalipa wadaiwa wetu?
Mbona taarifa ambazo tulikuwa nazo wanasema walikuwa kwenye hatua za mwisho ya mazungumzo?
Mazungumzo yali fail? Mbona serikali imekaa kimya?
Serikali tuambie Bombadia yetu inatua lini? Ni kodi zetu tuna haki ya kujua kinachoendelea