ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Uchaguzi ulienda vizuri kwa amani na kwa wakati nchi nzima,sasa sijui nini kilitokea kukatokea sintofahamu.
Ghafla wakasimamisha utangazaji na kuanza zoezi kuhakiki !mara wazungukie huku mara watokee huku!wananchi wanasubiri.
Hawa wakubwa nionavyo wametengeneza bomu ambalo wanasubiri tu muda wakulilipua.ee mungu epusha mabaya yote katika anga letu afrika ya mashariki.
Ghafla wakasimamisha utangazaji na kuanza zoezi kuhakiki !mara wazungukie huku mara watokee huku!wananchi wanasubiri.
Hawa wakubwa nionavyo wametengeneza bomu ambalo wanasubiri tu muda wakulilipua.ee mungu epusha mabaya yote katika anga letu afrika ya mashariki.