Hahaha,mkuu umefanya mpaka nimepaliwa mana nlikuwa nasoma huku nakunywa soft drinkDuuu.., kwahyo huyu nae kumbe ni Msakata kabumbu? Tujiandae kuona Forward kwa speed Kali kuliko Mpira!!!
Pole sana Mkuu wangu ila hiyo ndio hali halisi, hapo wakuwaonea huruma na Marefa na Washika Vibendera wakifanya masihara kila muda watakuwa wanapishana nae anarudi!!!Hahaha,mkuu umefanya mpaka nimepaliwa mana nlikuwa nasoma huku nakunywa soft drink
HahahahahahahahahaPole sana Mkuu wangu ila hiyo ndio hali halisi, hapo wakuwaonea huruma na Marefa na Washika Vibendera wakifanya masihara kila muda watakuwa wanapishana nae anarudi!!!
Hiyo ni business strategy Mkuu. Subir timu itakavyopiga pesa ndefu ndio upime huo wizi uko wapi. Ligi itaangaliwa mpaka na wapenda riadha waone star wao atafanya nin. Jezi, matangazo, ving'amuzi ni mwendo wa kupiga hela tuAna miaka 30+ sasa mpira ataucheza kwa mda gani?
Huyo anataka kuibia watu tu
anabutuaga hatari..ye na goli anapga shuti inakua ya kurusha kuelekea golini kwakeHahah hivi ni forward huyu
Hiyo ni biasha Mkuu. Kuna project ya kupiga pesa