Shining Light
JF-Expert Member
- Jan 8, 2024
- 213
- 288
Umepata Changamoto gani wakati umetumia usafiri wa Bolt, Farasi au Uber?
Juzi kati hivi niljikuta katika migogoro moja na dereva wa bolt, Nilipanda bajaji kutoka palm village nikiwa naelekea Temeke.
Tufika njia panda ya Morocco na alinuliza tunapita njia gani, nikasema napendelea ya magomeni. Akasema tunapita ya mjini na nilikataa kisha akasema huwezi mpangia dereva barabara ya kupita, akasema ananishusha
Nilimwambia nirudishe ulipo nitoa, ila nilikuwa ninahofu kubwa sana kwa sababu angeweza nifanya lolote kama kunipitisha njia nisiyo taka.
Alinishusha palm village nikarequest tena na kuelekea katika harakati zangu, Je wewe ni Mikasa gani imeshawahi kukutokea wakati unatumia usafir wa mtandaoni?
Juzi kati hivi niljikuta katika migogoro moja na dereva wa bolt, Nilipanda bajaji kutoka palm village nikiwa naelekea Temeke.
Tufika njia panda ya Morocco na alinuliza tunapita njia gani, nikasema napendelea ya magomeni. Akasema tunapita ya mjini na nilikataa kisha akasema huwezi mpangia dereva barabara ya kupita, akasema ananishusha
Nilimwambia nirudishe ulipo nitoa, ila nilikuwa ninahofu kubwa sana kwa sababu angeweza nifanya lolote kama kunipitisha njia nisiyo taka.
Alinishusha palm village nikarequest tena na kuelekea katika harakati zangu, Je wewe ni Mikasa gani imeshawahi kukutokea wakati unatumia usafir wa mtandaoni?