Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,044
- 5,114
Mkileta kejeli za dini kamwe hamtokuja mapata majibu mazuri ya maswali yenu na kinyume chake tutawapigishwa kwata mpaka uzi utiwe kufuli au kufutwa.
na kukimbilia radio Imaan kuishtaki JF
Mkileta kejeli za dini kamwe hamtokuja mapata majibu mazuri ya maswali yenu na kinyume chake tutawapigishwa kwata mpaka uzi utiwe kufuli au kufutwa.
Boko haram maana yake elimu ya Magharibi haram! Hawataki elimu yote ya Magharibi!
Msimamo wao ni marufuku kuwa na Newton's laws of motion, Einstein, Galileo, Van der Waal forces etc.
Wanataka kuwe nare[ Osama's First Law of motion! Ridhiwan's principle of mixture/QUOTE]
hahaha mkuu nimechekaje?osama's first law of motion states that,when a believer holds a sword in his right hand,he should move twice as fast as a comet to put it in the kaffir's throat and wait for mabikira sabini.ila mkuu hiyo ya pili sijui ina stste vipi
Boko haram maana yake elimu ya Magharibi haram! Hawataki elimu yote ya Magharibi!
Msimamo wao ni marufuku kuwa na Newton's laws of motion, Einstein, Galileo, Van der Waal forces etc.
Wanataka kuwe na Osama's First Law of motion! Ridhiwan's principle of mixture
hahaha mkuu nimechekaje?osama's first law of motion states that,when a believer holds a sword in his right hand,he should move twice as fast as a comet to put it in the kaffir's throat and wait for mabikira sabini.ila mkuu hiyo ya pili sijui ina stste vipi
Wakristo anzisheni basi tuone.
Jiulize na mauaji ya huko Central Africa waislam wanavochinjwa. ila Jf habari hii wanaipuuza , hii ndio bias ya udini.
Jiulize hao Seleka kwanza ndio uje na suala la boko haram. Tazama hii lakini picha zinatisha (warning).
ISLAM,Centrafrique,Central Africa,Christians burn Muslims alive - YouTube
We mujahidin waliolianzisha huko Central Africa ni waislam wa wa Seleka na walipindua mpaka serikali. Sasa hao waswaha walipochinja wakristu sana ndipo wakristu wakaamua kujitetea na kuunda kundi la Anti baraka ambalo ndo linawapa kichapo waswaha walioanza uchokozi!Jiulize na mauaji ya huko Central Africa waislam wanavochinjwa. ila Jf habari hii wanaipuuza , hii ndio bias ya udini.
Jiulize hao Seleka kwanza ndio uje na suala la boko haram. Tazama hii lakini picha zinatisha (warning).
ISLAM,Centrafrique,Central Africa,Christians burn Muslims alive - YouTube
dhulma zenu dhidi ya waislam ndo zinasababisha yote hayo
We mujahidin waliolianzisha huko Central Africa ni waislam wa wa Seleka na walipindua mpaka serikali. Sasa hao waswaha walipochinja wakristu sana ndipo wakristu wakaamua kujitetea na kuunda kundi la Anti baraka ambalo ndo linawapa kichapo waswaha walioanza uchokozi!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Unaonekana wewe no mtaalam wa hayo mambo hebu eleza uzoefu wako
It's very sad sana kuona binadamu akimdhuru mwenzake Kwa maumivu namna hii, nimeangalia sana video za kinachoendelea Central Africa ni aibu sana Kwa utu wa binadamu. Na ninyi mnaodhani udini unafaida fikirieni upya tena na tena.
Boko haram maana yake elimu ya Magharibi haram! Hawataki elimu yote ya Magharibi!
Msimamo wao ni marufuku kuwa na Newton's laws of motion, Einstein, Galileo, Van der Waal forces etc.
Wanataka kuwe na Osama's First Law of motion! Ridhiwan's principle of mixture
Hivi kweli kuna mkrito mwenye akili anatoka kwenye ukristo na kuhamia uislamu.
Habari zenu wana jamvi!
Nimekuwa nikijiuliza kuhusu KUNDI LA BOKO HARAMU la huko NIGERIA ambalo linapigania kuweka utawala wa kiislam katika taifa la NIGERIA ila kiukweli nimeshindwa kuelewa hivi ni kweli hili kundi ni la kiislamu au ni wahuni tu walioamua kushika silaha na kuchinja watu bila huruma!?
Hivi kwa jinsi wanavyoua wanavijiji wakiwamaliza na wakafanikiwa kuuweka huo utawala wa KIISLAMU watawatawala watu gani!? Ni nani mfadhili hasa wa kundi hili?
Na mnauongeleaje uwezo wa jeshi la NIGERIA ni kweli wameshindwa kabisa kupambana na hawa watu!?
KAMA KUNA ANAYEIJUA VIZURI DINI YA KIISLAMU naomba atuambie dini inasemaje kuhusu kumuua mtu asiyekuwa na hatia!!???
NAWASILISHA NA MCHANGO WAKO NI MUHIMU.............