Boko haram

Boko haram

Status
Not open for further replies.
Mkileta kejeli za dini kamwe hamtokuja mapata majibu mazuri ya maswali yenu na kinyume chake tutawapigishwa kwata mpaka uzi utiwe kufuli au kufutwa.

na kukimbilia radio Imaan kuishtaki JF
 
Boko haram maana yake elimu ya Magharibi haram! Hawataki elimu yote ya Magharibi!

Msimamo wao ni marufuku kuwa na Newton's laws of motion, Einstein, Galileo, Van der Waal forces etc.

Wanataka kuwe nare[ Osama's First Law of motion! Ridhiwan's principle of mixture/QUOTE]

hahaha mkuu nimechekaje?osama's first law of motion states that,when a believer holds a sword in his right hand,he should move twice as fast as a comet to put it in the kaffir's throat and wait for mabikira sabini.ila mkuu hiyo ya pili sijui ina stste vipi
 
It's very sad sana kuona binadamu akimdhuru mwenzake Kwa maumivu namna hii, nimeangalia sana video za kinachoendelea Central Africa ni aibu sana Kwa utu wa binadamu. Na ninyi mnaodhani udini unafaida fikirieni upya tena na tena.
 
mh!?????????
Boko haram maana yake elimu ya Magharibi haram! Hawataki elimu yote ya Magharibi!

Msimamo wao ni marufuku kuwa na Newton's laws of motion, Einstein, Galileo, Van der Waal forces etc.

Wanataka kuwe na Osama's First Law of motion! Ridhiwan's principle of mixture
 
hahaha mkuu nimechekaje?osama's first law of motion states that,when a believer holds a sword in his right hand,he should move twice as fast as a comet to put it in the kaffir's throat and wait for mabikira sabini.ila mkuu hiyo ya pili sijui ina stste vipi

ha ha haaa! Umei state vizuri kweli. Naifahamu sheikh Ilunga's principle, 'whoever believes in death and ressurection of Jesus should be slayed or stoned to death; pastors, monks, nuns, fathers, bishops, archedeacon! Hold them kill them, and all muslim should say takbir'
 
Mstari wa 33 chapter ya 17 katika kuruani inakataza mauaji yasiyo na sababu ya msingi.Sidhani kama boko haram usomaga haya hizi wangekuwa wanasoma wasingeua watoto wa shule
 
Jiulize na mauaji ya huko Central Africa waislam wanavochinjwa. ila Jf habari hii wanaipuuza , hii ndio bias ya udini.
Jiulize hao Seleka kwanza ndio uje na suala la boko haram. Tazama hii lakini picha zinatisha (warning).


ISLAM,Centrafrique,Central Africa,Christians burn Muslims alive - YouTube

Ant-Balaka ni output ya Seleka,na hawa Seleka walikuwa wana nia,matendo na malengo kama haya haya ya Boko Haram sema tuu Wakristo wa CAR uvumilivu,unyonge na hofu vilifika kikomo wakatafuta dawa ndio wakapata hiyo kinga inayoitwa Ant Balaka. Na naamini hawa Boko Haram muda si mrefu itapatikana dawa yake na mtakuja hapa kulalamika kama mnavyolalamika kuhusu CAR.
 
Kwa wale wanaotaka kujua wigo (limitations) wa uwezo wa binadamu kuchanganua mambo inawapasa waende mbali zaidi. tatizo kuna watu tena wengi duniani kwa sasa ikwewezekana mimi na wewe ni mojawapo, wanaopenda kuamini vile wanavyoviona, kusikia na hata kuwaza kuwa ndio sahihi tu.
Ni bora ukapata elimu kidogo sana lakini ya kweli kuliko kuonekana una elimu (information) kubwa lakini zilizopotoshwa. Dunia inapitia katika wakati mgumu kidogo sababu ya hili tatizo la elimu isiyo sahihi.

Fuatilia kwa makini sana hii link na ndio utaelewa ni kwa nini hawa watu wanafikia hata kutulazimisha kuukubali ushoga mbali na kupingana au kukubaliana na hawa boko haramu!
Space Race Interactive Test
 
Jiulize na mauaji ya huko Central Africa waislam wanavochinjwa. ila Jf habari hii wanaipuuza , hii ndio bias ya udini.
Jiulize hao Seleka kwanza ndio uje na suala la boko haram. Tazama hii lakini picha zinatisha (warning).


ISLAM,Centrafrique,Central Africa,Christians burn Muslims alive - YouTube
We mujahidin waliolianzisha huko Central Africa ni waislam wa wa Seleka na walipindua mpaka serikali. Sasa hao waswaha walipochinja wakristu sana ndipo wakristu wakaamua kujitetea na kuunda kundi la Anti baraka ambalo ndo linawapa kichapo waswaha walioanza uchokozi!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
We mujahidin waliolianzisha huko Central Africa ni waislam wa wa Seleka na walipindua mpaka serikali. Sasa hao waswaha walipochinja wakristu sana ndipo wakristu wakaamua kujitetea na kuunda kundi la Anti baraka ambalo ndo linawapa kichapo waswaha walioanza uchokozi!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

sereka awakufanya haya ya ant baraka
 
Hivi kweli kuna mkrito mwenye akili anatoka kwenye ukristo na kuhamia uislamu.
 
It's very sad sana kuona binadamu akimdhuru mwenzake Kwa maumivu namna hii, nimeangalia sana video za kinachoendelea Central Africa ni aibu sana Kwa utu wa binadamu. Na ninyi mnaodhani udini unafaida fikirieni upya tena na tena.

Ni kweli mtu anayejisikia kwamba kuna 'elementary particles' za udini ndani yake should change that way of thinking maana kwenye vita vya udini there's no a so called permanent winner or looser... mapambano ya kulipiza kisasi yataendelea kila mtu akiwa na uchungu wa kumpoteza ndugu yake, jamaa, rafiki nk itakuwa jino kwa jino mpaka watu wote wawe vibogoyo na shida kubwa ya kuanza kwa udini ni pale mtu kuona dini yake ni 'superior' kuliko dini za wenzake lakini ukijua ukweli kwamba dini yangu ni kama za wenzangu(hata kama kuna tofauti ya namna ya kuabudu) itakufanya uheshimu dini za wenzako, leo Mkristo anaona dini yake ni bora kuliko ya Muislamu na Muislamu naye anaona yake ni bora kuliko Mkristo hapohapo Myahudi naye anaona wote wamepotea yake ya Kihayudi ndiyo bora kuliko zote na wengine vilevile nk that's just how everyone perceives but our perceptions will never change the truth kwamba Mungu atahukumu kwa haki kwa kuangalia matendo mema na mabaya ya mwanadamu hakuna Mkristo/Muislamu/Myahudi nk atakaye ingia mbinguni kwa mwavuli wa dini yake tofauti na matendo yake. Utakuta jambazi, mwizi, mzinzi anasema yeye ni Mkristo/Muislamu/Myahudi sasa hapo usitegemee hukumu kufuata dini
 
Boko haram maana yake elimu ya Magharibi haram! Hawataki elimu yote ya Magharibi!

Msimamo wao ni marufuku kuwa na Newton's laws of motion, Einstein, Galileo, Van der Waal forces etc.

Wanataka kuwe na Osama's First Law of motion! Ridhiwan's principle of mixture



Da umenichekesha sana
 
Hivi kweli kuna mkrito mwenye akili anatoka kwenye ukristo na kuhamia uislamu.

Mimi huwa nikisoma haya hii, (Sura 33:37)-ya mtume kumnyang'anya kijana wake mke na kumuoa, pia mtume kuoa mtoto wa miaka 6 katika haya (Qur'an 33:21-) huwa nasema kuliko kumfuata mtume huyo bora nisiwe na dini.
 
Habari zenu wana jamvi!

Nimekuwa nikijiuliza kuhusu KUNDI LA BOKO HARAMU la huko NIGERIA ambalo linapigania kuweka utawala wa kiislam katika taifa la NIGERIA ila kiukweli nimeshindwa kuelewa hivi ni kweli hili kundi ni la kiislamu au ni wahuni tu walioamua kushika silaha na kuchinja watu bila huruma!?

Hivi kwa jinsi wanavyoua wanavijiji wakiwamaliza na wakafanikiwa kuuweka huo utawala wa KIISLAMU watawatawala watu gani!? Ni nani mfadhili hasa wa kundi hili?

Na mnauongeleaje uwezo wa jeshi la NIGERIA ni kweli wameshindwa kabisa kupambana na hawa watu!?

KAMA KUNA ANAYEIJUA VIZURI DINI YA KIISLAMU naomba atuambie dini inasemaje kuhusu kumuua mtu asiyekuwa na hatia!!???

NAWASILISHA NA MCHANGO WAKO NI MUHIMU.............

wako kwenye vita ya jihadi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom