Boko Haram wateka wasichana wengine 8

Boko Haram wateka wasichana wengine 8

Status
Not open for further replies.

kbm

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
5,224
Reaction score
1,685
Kundi la waasi la Boko haramu limewateka wasichana wengine nane jirani na ngome yao Kaskazini mwa Nigeria, polisi wasema leo.
 
hao askari wa nigeria kazi yao nn?inakuwaje wanazidiwa kiasi hicho?
 
Kundi la waasi la Boko haramu limewateka wasichana wengine nane jirani na ngome yao Kaskazini mwa Nigeria, polisi wasema leo.

Unapouwa binadamu ambaye Mungu hajampa muda wake wa kuishi duniani ile huwa inakundama mpaka utubu sasa hawa kwa vile hawataki kutubu wataendelea kumwaga damu za watu mpaka kiama hiyo ndio roho ya shetani.
 
200 + 8 = 208,hawa ndugu zetu wa Boko Haram wamewaka wapi hawa watoto ?Allah Akbar
 
Baada ya 200 tuliosoma asubuhi, wengine wanane? kwa hiyo jumla ni 208?

Au siyo?
 
Allah kasema tuwauze wanawake hawatakiwi kusoma kwa mjibu wa mtumishi wake Abubakar shakau
 
Waje wamchukue na FF kasoma sana hadi hajielewi
 
abubakar-shekau-wanted-dead-or-alive-home.jpg
boko.png
 
kwa mujibu wa habari rasmi walizotoa police wa nigeria jana,watoto waliotekwa ni 276,walikuwepo watoto toka shule zingine walikuwa wameenda kwenye hiyo shule kufanya mitihani.kwa hiyo ukiwajumlisha na wanane waliotangazwa leo ambao walitekwa toka jumapili wanakuwa 284,God have mercy on those girls
 
Yes, nimefurahi sana kwani wamepata mtaji, asubuhi si mlisema wanawauza? Fikiri, asubuhi ukiwa na bidhaa 200 mchana zikawa 208, si la kufurahia hilo?

Uenda FaizaFoxy ana jinsia 2 kwa hiyo na yeye anatarajia mabikra 72
 
Yes, nimefurahi sana kwani wamepata mtaji, asubuhi si mlisema wanawauza? Fikiri, asubuhi ukiwa na bidhaa 200 mchana zikawa 208, si la kufurahia hilo?
Duh! Wewe ni binadamu kweli au jini? This is simply satanic!
 
Yes, nimefurahi sana kwani wamepata mtaji, asubuhi si mlisema wanawauza? Fikiri, asubuhi ukiwa na bidhaa 200 mchana zikawa 208, si la kufurahia hilo?

Weee mla UGORO nahisi umetoroka mirembe siyo hiv hvi
 
Yes, nimefurahi sana kwani wamepata mtaji, asubuhi si mlisema wanawauza? Fikiri, asubuhi ukiwa na bidhaa 200 mchana zikawa 208, si la kufurahia hilo?
Hata sielewi maana sijui nini unaongea, umeambiwa waliotekwa wamekosa nini? dhambi hii inakufuata hapo ulipo
 
Allah kasema tuwauze wanawake hawatakiwi kusoma kwa mjibu wa mtumishi wake Abubakar shakau

st..u..p.dddddd.....hiz din nyngne za kuua sjui kwann waarab walizleta afrca...jesh la Nigeria liwasake na kuwaua hawa washenz wa al shabab
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom