Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
Jamaa yako anasema Mungu alipa ubaya kwa wema na binaadam ubaya kwa ubaya ! Ajabu mnasoma Biblia lakini hamtii maanani, Mungu alimuangamiza Pharao na watu wake, wale wayakudi waliobudu ngombe waliuawa. Wale wa safina, wale wa Luth, Mungu hakuonyesha huruma ?Mkuu unanipa burudani jinsi unavyo wachalenji hawa wana wa Allah