Sijui hua mnaipendea nini, mikate mikavu hiyo mie mnanikamataga tu kwneye bites zenu, katles, bajia, sana hua napendelea mikate ya ufuta na uroojoo
dada unaonekana ni mtu wa vitamu vitamu tu
Sijui hua mnaipendea nini, mikate mikavu hiyo mie mnanikamataga tu kwneye bites zenu, katles, bajia, sana hua napendelea mikate ya ufuta na uroojoo
haha kwan wewe hupendi vitamu?? mimi nikiendaga huko napendaga hizo bites zao huku nilipo ni gharama au nitengenezemwenyewe nikiwa na muda na n mara chache hufanya hivo lakini nikienda huko nafaidi kweli kwelidada unaonekana ni mtu wa vitamu vitamu tu
😂😂😂😂😂 sasa s angekua na akiba akala anachotaka?? asubuhi urojo mchana urojo hahahhaa nimecheka, mimi kinachonishinda ni wali yan wali ni guarantee mchana na mchuzi huo kama juisiSi watengeneze iwe milaini
Kuna mtu alienda zenji mchana akapewa urojo,usiku akapewa urojo tena kesho yake asubuhi aliaga akahamia hotel
hahha kama kipi??Kwa huk zenj usifananishe boflo na vtu vya kijinga…
Usifikiri ni bonge la mkate kama ya Bakhresa bali ni kamkate kadogo tu hata mtoto hashibi.Ongezeko la 50 nalo linalalamikiwa, huo mkate unauzwa 1000 mainland
Hehehe wali mtamu nyie nyie😂😂😂😂😂 sasa s angekua na akiba akala anachotaka?? asubuhi urojo mchana urojo hahahhaa nimecheka, mimi kinachonishinda ni wali yan wali ni guarantee mchana na mchuzi huo kama juisi
duh kweli tunatofautiana haukukinaishi??Hehehe wali mtamu nyie nyie
haha kwan wewe hupendi vitamu?? mimi nikiendaga huko napendaga hizo bites zao huku nilipo ni gharama au nitengenezemwenyewe nikiwa na muda na n mara chache hufanya hivo lakini nikienda huko nafaidi kweli kweli
tena harusi kama hivyo wanaita chai ndio kuna hayo mamboniliwahi kuhudhuria harusi nikiwa zenj, yani nilipiga hivo vitu mpaka kifua kikafanya kiungalia kama kuwaka moto kabisa yani dah ilikua tafrani wakati wa kulala usiku.
Kuna katlesi, kababu, ekchop, kuna na moja wanaita tri angle kama hivi unaweza kujisahau ukafakamia.
tena harusi kama hivyo wanaita chai ndio kuna hayo mambo
nakuelewa sana mana ndio desturi yaokama uliekuepo, ilikua nihiyohiyo chai.
hahha kama kipi??
Unakinai kuna muda ugaliduh kweli tunatofautiana haukukinaishi??
Mkuu hata ww unakula ugali ?mkuu, kwa wajomba zangu ndio kama nyumbani siku zote nikienda unguja, sjajua sehem zingine lakini kama hizo katles huuzwa mia mia maandaz ni bei hiyo hiyo nachokishangaa wewe mgeni ukifika utanunuliwa vitu kama hivyo wao wataminyana na maboflo na urojo tena wa mia 2 juu walie hivo vitu na hata ukiongeza hela wao lazima wanunue hiyo mikate na ukiwauliza hawana majibu na wakiikosa asbh bas jioni ngoma ni hiyo
hata kwa mchana wao ni wali wali na wao na mchuzi kama juisi sasa sometimes unanikinaisha nataka ugali huwez amini unga nanunuliwa nasonga nakula ila wao hawapendi sembe
nisile ugali nina kasoro gani??Mkuu hata ww unakula ugali ?
Nahisi kama vile mtt mlaini laini yake ma egg chop mabiriyaninisile ugali nina kasoro gani??
hivyo vyote nala hata huo ugali na napendelea ugali mchana nibadilishe mboga tu ni vyakula vichache tu nisivyokulaNahisi kama vile mtt mlaini laini yake ma egg chop mabiriyani
Umeambaje yakheeYakheee ata liwe linauzwa 10000 tutanunua.......twalia na urojo tuu hilo