Bodyguards wa rais Museveni utadhani machinga

Bodyguards wa rais Museveni utadhani machinga

Mcmillan de Maghayo

Senior Member
Joined
Dec 6, 2025
Posts
186
Reaction score
393
Mzuka Wana jamvi!

Hawa walinzi wa rais wa Uganda Yoweri Kaguta Mseven Wanafanana kama wamachinga kariako na Karume.

Wanakaa kishamba shamba tu.

Yani wakowako tu na wanasura ngumu balaa kama watu wa Mara.

Hata madalali wa bongo wako nadhif kuwaliko.

Yani hawafananii kabisa na "ubodyguard".

Screenshot_20251216_135316_Facebook.jpg


 
Back
Top Bottom