Bodi ya Mikopo inawaibia Watanzania

Soma kwanza ujue mada inahusu, na ujaribu kuficha upumbavu wako, kusomesha kwa pesa ya bodi wewe inakuhusu nini?
 
HIvi unatetea nini wewe mjinga? Tena haujui kuwa ni mjinga - ukaamua kuweka msisitizo wa ujinga wako katika maandishi mazito meusi (bold)! Hivi umesoma michango hii ambao umezaa coment yangu (Tilburg1 na Molembe)?
tilburg1 said:
Kweli ni post nzuri, ila nina wasiwasi na alivyo kokotoa hiyo nyongeza ya 6% ya mkopo kila mwaka wa fedha, sababu nilivyo ona huo utoaji wa hiyo mikopo ya masomo ya juu nikama wame copy na ku paste toka nchi za hapa Ulaya, ila wao wamezidisha sana asilimia za marejesho. hiyo 6% huwa ina kokotolewa kutokana na deni unalo anzanalo katika mwaka ule wa fedha na sio deni Original, kwa hiyo kama mwaka ulio pita ulidaiwa milioni 30 umelipa milioni tufanye 2, kwa hiyo mwaka huu unaanza na deni la milioni 28 kitakacho ongezeka ni 6%*28 millioni nikama nyongeza ya 1.6millioni, kwa hiyo kadili unavyo lipa deni ndivyo nyongeza inavyo pungua. Lengo ni kuwasukuma watu walipe madeni yao, yule ambaye halipi deni lake ndio linaongezeka zaidi.
Ila ushauri wangu mimi nikuwa mwanafunzi anaye soma mpaka kumaliza masomo yake vizuri basi serikali imsaidie 40% ya malipo au hata zaidi kwa kadiri watakavyo ona, bali yule anayeishia njia bila sababu muhimu kama matatizo ya kiafya namengineyo basi alipe mwenyewe pesa yote aliyo kopa na nyongeza.
Na huu hapa wa Molembe:
Kwahiyo ukichukua mil 28 +1.6m=29.6 tofauti ya laki nne tu, sasa hapo unakuwa unalipa deni au una maktaimu?
 
Huu ndo tunasema wizi na unyanyasaji kwa vijana maskini wa nchi hii, tafakari huyu kijana aanze maisha na deni la milioni 40 na hapo hajapata kazi, na unaambiwa kasoma chuo kikuu cha umma
 
Haya mambo magufuli ndio kayaleta angeacha ile asilimia 8 iliyokua inatumika.utaratibu wa mwanzo ulikua mzuri kaja yy kavuruga kila kitu
 
Mkuu hizi habari za kusema utulie kwanza sjui ukae vizuri unazitoa wapi?? Huu uzi hauna cha kusubiri mwagika kila kitu hapa tunataka mambo yote yawekwe adharani kuhusu upupu wa hawa jamaa

Kiongozi,ni maelezo marefu kidogo ambayo nataka niambatanishe na vielelezo husika kabisa vya Salary slip zangu pamoja na notice za HELSB, sitaki masihara kabisaaa!!
 
Haya mambo magufuli ndio kayaleta angeacha ile asilimia 8 iliyokua inatumika.utaratibu wa mwanzo ulikua mzuri kaja yy kavuruga kila kitu

Mkuu kwa sharia kandamizi iliyopo,ingebakia 8% ndo ilikua mbaya kabisaaaa

Maana deni ndo lisingeisha mpaka tunaozea kaburini
 
 
Hesabu za kuzidisha na kutoa inaonesha hiyo asilimia 6 ya kila mwaka kwa kipindi chote cha marejesho miaka 10 inafika asilimia 26 ya kiasi cha deni uliloanza nalo kama utakatwa mfululizo.
Wataalamu wa benki mtusaidie hii asilimia 26 kwa mkopo wa miaka 10 ni fair?
 
Kiongozi,ni maelezo marefu kidogo ambayo nataka niambatanishe na vielelezo husika kabisa vya Salary slip zangu pamoja na notice za HELSB, sitaki masihara kabisaaa!!
Sasa ndo tupambane mpaka tone la mwisho kuhakikisha haki inapatikana siyo tena ukate tamaa kama jina lako linavyosomeka hapo kwenye id
 
Mh Rais tunaomba ukutane na wanufaika wa bodi wakueleze kilio chao
 
Tusisahau rais wa wanyonge ndio alisaini 15%. mimi naona wote wauaji.watumishi chamoto hakitaisha hapa
 
 
Heri nimeacha kazi na kwenda kufuga nguruwe na sungura kwe mwezi napiga m12 bila kamishina kujua
 
Heri nimeacha kazi na kwenda kufuga nguruwe na sungura kwe mwezi napiga m12 bila kamishina kujua

Watakukamata tu siku za usoni huko huko uliko. Kuna wenzako miaka hiyo nilipokua nakatwa, nikawashauri wajisalimishe wenyewe; wakapuuza! Leo hii wanalia na kusaga meno! 15% ya basic salary si mchezo! Hawaangalii salary slip ina take home ya shilingi ngapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…