Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu yafungua dirisha la maombi kwa siku 40, yatoa muongozo

Jaman mdogo wangu tangu atume cheti kwaajili ya approval RITA ili aendelee kuomba mkopo bado hajajibiwa mpaka sasa.Tufanyeje?
 
Basi hyo ya nacte hapana..
Cheti kinathibitishwa na hakimu tu.. Kama ni chako ila cha kuzaliwa ni muhimu sana kupeleka/kutuma RITA wao ndo wa na mamlaka ya kuthibitisha vyeti vya vizazi na vifo
kipindi mi naomba nilicertify kwa wakili. Juzi hapa niliyekua namsaidia akasema wameelekezwa wacertify kwa Nacte. Ila kama wamerudisha kwa wakiki sawa
 
kulipia uhakiki wa chetu cha kuzaliwa kwaajili ya kuomba mkopo tunafanyaje msaada tafadhali
Unakituma RITA online then unatumiwa majibu.But sie tunasubiri mpaka Leo tangu tarehe 23 bado.Hata hatujui tufanyeje?
 
Jamani na ikatokea umeaomba na umelipa but hujatumiwa approval nn kifanyike?
 
Hii application fee unaweza kutuma kwa simu?
Wana namba zao Lakini hata kupokea.hawapokei
 
kwa wale ambao hawajapata award verification number namaanisha ,wale ambao wapo kwenye mitihani ya kumaliza diploma. je!, mnawashauri vipi?, wasubiri mpaka wapate AVN kitoka NACTE au waanze taratibu za kuhakiki vyeti RITA?.
 
Msaada please wale waliofadhiliwa elimu ya olevel au alevel je hii fomu inajazwa humu humu ndani na taasis iliyokudhamini au wakiandika barua inatosha?? na Kama unajaza ndani je usipojaza TIN number Kuna madhara yoyote naomben Msaada kwa Hilo nimekwama
Screenshot_20200809-111020.jpg
 
kwa wale ambao hawajapata award verification number namaanisha ,wale ambao wapo kwenye mitihani ya kumaliza diploma. je!, mnawashauri vipi?, wasubiri mpaka wapate AVN kitoka NACTE au waanze taratibu za kuhakiki vyeti RITA?.
Mkuu mm niko namalizia semester na vision yangu ni kuuunganisha bachelor mwaka huu, mpaka sasa nishacertify cheti RITA tayari.. Yaan transcription ikitoka tu naaply mkopo kama dirisha likiwa wazi. Kuhusu vyuo tunaweza kuwahi dirisha LA pili maana linafunguliwa October 6 - October 12
 
Msaada please wale waliofadhiliwa elimu ya olevel au alevel je hii fomu inajazwa humu humu ndani na taasis iliyokudhamini au wakiandika barua inatosha?? na Kama unajaza ndani je usipojaza TIN number Kuna madhara yoyote naomben Msaada kwa Hilo nimekwamaView attachment 1531892

Mkuu, maana ya kutoa hyo form mwaka huu ni kutaka kuwe na uniform documents in that aspect. Hvyo hawahitaji barua yoyote zaidi ya kujaza hyo form yao na kuiupload wakati wa kufanya maombi.. Labda itakubidi uambatanisha na nyaraka nyingine kama resit za bank za malipo ya mfadhiri au barua ya ufadhiri( yaan ile form uliyopata kukuonesha kuwa umedhaminiwa masomo yako/kwa wale wa vyuo vya serikali waliofadhiriwa na serikali watatumia joining instruction yao)

Ila tu kitu walichofeli board ni kuidunisha(kuifanya dingo) hyo form kiasi kwamba ujazaji wa taarifa unakuwa wakubanabana.

Asante
 
Mkuu, maana ya kutoa hyo form mwaka huu ni kutaka kuwe na uniform documents in that aspect. Hvyo hawahitaji barua yoyote zaidi ya kujaza hyo form yao na kuiupload wakati wa kufanya maombi.. Labda itakubidi uambatanisha na nyaraka nyingine kama resit za bank za malipo ya mfadhiri au barua ya ufadhiri( yaan ile form uliyopata kukuonesha kuwa umedhaminiwa masomo yako/kwa wale wa vyuo vya serikali waliofadhiriwa na serikali watatumia joining instruction yao)
Ila tu kitu walichofeli board ni kuidunisha(kuifanya dingo) hyo form kiasi kwamba ujazaji wa taarifa unakuwa wakubanabana.

Asante
Samahan kwa kweli na vipi Kama ulidhaminiwa lakini hukupewa fomu ya udhamini ila ulivyoenda kwenye hiyo taasisi kuwaambia wakakuandikia tu barua ya kwenda heslb wakaelezea kuwa walikudhamini wakataja kiasi walichokudhamini kwenye hiyo barua wakaweka na muhur na sain je lakini hawajakupa fomu hii imekaaje
 
Samahan kwa kweli na vipi Kama ulidhaminiwa lakini hukupewa fomu ya udhamini ila ulivyoenda kwenye hiyo taasisi kuwaambia wakakuandikia tu barua ya kwenda heslb wakaelezea kuwa walikudhamini wakataja kiasi walichokudhamini kwenye hiyo barua wakaweka na muhur na sain je lakini hawajakupa fomu hii imekaaje
Yaah that is "accepted testimony" kikubwa iwe sealed kama ulivyosema then una-attach to that form
 
Yaah that is "accepted testimony" kikubwa iwe sealed kama ulivyosema then una-attach to that form
Asante Sana asee maana nilikuwa njia panda coz shule niliyosoma ilinichukua tu kutoka govt wakaongea na mzaz wakanifadhil ila hawajawahi kunipa risit Wala Fom yoyote Zaid ya joining instructions wakasema wamenisaidia tu sasa kwenye hiyo Fom Kuna proof of sponsorship ndo hapo tabu ilipoanzia asee coz nilisoma bure bila gharama zozote but nashukuru kwa maelezo yako umenifungua kiukweli coz nilikuwa nawaza nawezaje kuendelea kuwasumbua walimu akati walinifadhili tu alafu kingine kwenye hapo two senior officer name & title si wanaweza kusaini mwalimu mkuu na msaidiz tu inatosha au mpaka mwenye shule?? Afu kwenye reference number imekaaje hii unaandika Nini hapo??

Samahan kwa usumbufu!!!
 
Asante Sana asee maana nilikuwa njia panda coz shule niliyosoma ilinichukua tu kutoka govt wakaongea na mzaz wakanifadhil ila hawajawahi kunipa risit Wala Fom yoyote Zaid ya joining instructions wakasema wamenisaidia tu sasa kwenye hiyo Fom Kuna proof of sponsorship ndo hapo tabu ilipoanzia asee coz nilisoma bure bila gharama zozote but nashukuru kwa maelezo yako umenifungua kiukweli coz nilikuwa nawaza nawezaje kuendelea kuwasumbua walimu akati walinifadhili tu alafu kingine kwenye hapo two senior officer name & title si wanaweza kusaini mwalimu mkuu na msaidiz tu inatosha au mpaka mwenye shule?? Afu kwenye reference number imekaaje hii unaandika Nini hapo??

Samahan kwa usumbufu!!!
Ujue bhna mwaka huu awa bodi ya mikopo kuhusu swala la watu waliofadhiliwa masomo yao wameliweka complicated xana coz watu wengi uwa wanafoji nyaraka za kujifanya wamefashiliwa sasa safari hii ndio mana wanataka hadi Tin number mana hii siyo inshu ndogo na pia hadi expenses zote ulizo gharamikiwa ili kujiridhisha
 
Asante Sana asee maana nilikuwa njia panda coz shule niliyosoma ilinichukua tu kutoka govt wakaongea na mzaz wakanifadhil ila hawajawahi kunipa risit Wala Fom yoyote Zaid ya joining instructions wakasema wamenisaidia tu sasa kwenye hiyo Fom Kuna proof of sponsorship ndo hapo tabu ilipoanzia asee coz nilisoma bure bila gharama zozote but nashukuru kwa maelezo yako umenifungua kiukweli coz nilikuwa nawaza nawezaje kuendelea kuwasumbua walimu akati walinifadhili tu alafu kingine kwenye hapo two senior officer name & title si wanaweza kusaini mwalimu mkuu na msaidiz tu inatosha au mpaka mwenye shule?? Afu kwenye reference number imekaaje hii unaandika Nini hapo??

Samahan kwa usumbufu!!!
Yaah, hapi Master anamaliza kila kitu hata hyo reference number master wako was shule anajua, So atakujazia vizuri tu.
Kikubwa kwenye hyo form usikose muhuri was taasisi husika iliyokuzamini na hichi kiambatanisho kingine cha uthibitisho.
Alafu hapo kwenye reason ya ufadhiri muombe mwalimu akujazie hyo statement inayosema "Student from poor/marginalized family" itamake sense sana
Ujue bhna mwaka huu awa bodi ya mikopo kuhusu swala la watu waliofadhiliwa masomo yao wameliweka complicated xana coz watu wengi uwa wanafoji nyaraka za kujifanya wamefashiliwa sasa safari hii ndio mana wanataka hadi Tin number mana hii siyo inshu ndogo na pia hadi expenses zote ulizo gharamikiwa ili kujiridhisha
Actually, mwaka wamefunga kazi kabisa yaani inabidi utumie akilini nyingi even money also ili uweze kuwalaghai kama wakivyofanya watu miaka ya nyuma.
 
Back
Top Bottom