We jamaa mbona uñapenda kutukera na kutudhihaki?TFF na bodi ya ligi baada ya kukaa wameazimia Kufuta matokeo yaliyotokea huko Egypt Simba kupigwa goli 2
Bodi ya ligi imejiridhisha kuwa Simba walionewa baada ya kuzuiwa kufanya mazoezi
Pia bodi ya ligi imegundua kuwa Al Masry wakifunga magoli ya counter attack, Simba alionewa kwanini afungwe wakati alimiliki mipira 58%
Sababu nyingine ni kuwa Simba alinyimwa penalties 3 kwenye huo mchezo na wazee wa Simba waliitisha mkutano na kutishia kumuua mwamzi
V.A . R iliwabeba Waarabu
Pia GSM amethibitika anadhamini waarabu na pia bahasha walipewa waamzi na kipa wa Simba Camara alipata bahasha yakeView attachment 3294243
Refa hakuenda kuangalia VAR aliambiwa kwenye simu,TFF na bodi ya ligi baada ya kukaa wameazimia Kufuta matokeo yaliyotokea huko Egypt Simba kupigwa goli 2
Bodi ya ligi imejiridhisha kuwa Simba walionewa baada ya kuzuiwa kufanya mazoezi
Pia bodi ya ligi imegundua kuwa Al Masry wakifunga magoli ya counter attack, Simba alionewa kwanini afungwe wakati alimiliki mipira 58%
Sababu nyingine ni kuwa Simba alinyimwa penalties 3 kwenye huo mchezo na wazee wa Simba waliitisha mkutano na kutishia kumuua mwamzi
V.A . R iliwabeba Waarabu
Pia GSM amethibitika anadhamini waarabu na pia bahasha walipewa waamzi na kipa wa Simba Camara alipata bahasha yakeView attachment 3294243
Mnamheshimu huyu mvuta bangi kwa lipi ? Mental case hii mnaiheshimu kwa lipiMkuu wewe unaheshimika why ufanye mambo haya
😎 😎 😎 😎 😎Sisi kama Yanga laZima tuje kuwapa kero za hapa na pale
Mkose amani
Na hapa Jamii forums tuna refresh tu,
Huku tukiwapopoa mambumbumbu wa Rage
Kwanza mwanae anasoma darasa la sasa.Sijui ni lipi hilo.Huko mbeleni chunga asije jua unavyo comment humu ndani 🤣🤣🤣
Hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sanaTFF na bodi ya ligi baada ya kukaa wameazimia Kufuta matokeo yaliyotokea huko Egypt Simba kupigwa goli 2
Bodi ya ligi imejiridhisha kuwa Simba walionewa baada ya kuzuiwa kufanya mazoezi
Pia bodi ya ligi imegundua kuwa Al Masry wakifunga magoli ya counter attack, Simba alionewa kwanini afungwe wakati alimiliki mipira 58%
Sababu nyingine ni kuwa Simba alinyimwa penalties 3 kwenye huo mchezo na wazee wa Simba waliitisha mkutano na kutishia kumuua mwamzi
V.A . R iliwabeba Waarabu
Pia GSM amethibitika anadhamini waarabu na pia bahasha walipewa waamzi na kipa wa Simba Camara alipata bahasha yakeView attachment 3294243
KhaaaaaWee huponi tena, wamesha chelewa.
![]()
Alisikika utopwinyo mmoja hv kutoka kwa manjunjuUnajua simba sio mbumbumbu tu ila pia ni viziwi kabisa , tushawaambia sana makolo timu yao mbovu wachezaji ni kiwango cha championship walete pesa tuwape Pacome na Max ila hawasikii, ona sasa jumatano watapigwa goli mbili safi ndani nje na kubaki na kombe la mapinduzi la mwaka juzi.
Kilio lazima simba wapeleke bodi ya ligi kudai matokeo yote yafutwe kisa eti Al Masry wameleta wachezaji warefu kuliko kina Kibu mipira yote ya juu wanacheza wao tu, pia watalalamikia upotezaji muda, waarabu kujiangusha, wachezaji Al Masry wana afya kuliko wa kwao na mwisho lawama kwa meneja uwanja kuzuia wazee na mbuzi kutinga lupaso, bodi itaiamrisha CAF na mechi zitarudiwa!
😂😂😂😂Khaaaaa