Bodi ya ligi tafuta matokeo ya Simba huko Egypt

Bodi ya ligi tafuta matokeo ya Simba huko Egypt

TFF na bodi ya ligi baada ya kukaa wameazimia Kufuta matokeo yaliyotokea huko Egypt Simba kupigwa goli 2

Bodi ya ligi imejiridhisha kuwa Simba walionewa baada ya kuzuiwa kufanya mazoezi

Pia bodi ya ligi imegundua kuwa Al Masry wakifunga magoli ya counter attack, Simba alionewa kwanini afungwe wakati alimiliki mipira 58%

Sababu nyingine ni kuwa Simba alinyimwa penalties 3 kwenye huo mchezo na wazee wa Simba waliitisha mkutano na kutishia kumuua mwamzi

V.A . R iliwabeba Waarabu

Pia GSM amethibitika anadhamini waarabu na pia bahasha walipewa waamzi na kipa wa Simba Camara alipata bahasha yakeView attachment 3294243
We jamaa mbona uñapenda kutukera na kutudhihaki?
Tutakushtaki kwa Karai aiagize kamati yake ikufungulie mashtaka, ufungiwe miaka 2 kujihusisha na soka ndani na nje ya BONGO.
 
TFF na bodi ya ligi baada ya kukaa wameazimia Kufuta matokeo yaliyotokea huko Egypt Simba kupigwa goli 2

Bodi ya ligi imejiridhisha kuwa Simba walionewa baada ya kuzuiwa kufanya mazoezi

Pia bodi ya ligi imegundua kuwa Al Masry wakifunga magoli ya counter attack, Simba alionewa kwanini afungwe wakati alimiliki mipira 58%

Sababu nyingine ni kuwa Simba alinyimwa penalties 3 kwenye huo mchezo na wazee wa Simba waliitisha mkutano na kutishia kumuua mwamzi

V.A . R iliwabeba Waarabu

Pia GSM amethibitika anadhamini waarabu na pia bahasha walipewa waamzi na kipa wa Simba Camara alipata bahasha yakeView attachment 3294243
Refa hakuenda kuangalia VAR aliambiwa kwenye simu,

Hitimisho refa anadharau sana ashitakiwe kwenye bodi ya ligi, kikikiki
 
We jamaa mbona uñapenda kutukera na kutudhihaki?
Tutakushtaki kwa Karai aiagize kamati yake ikufungulie mashtaka, ufungiwe miaka 2 kujihusisha na soka ndani na nje ya BONGO.
🤣😉 Tukutane CAS
 
Nimesoma ulichoandika chote nimegundua Ngara23 umeongeza chumvi
 
Unajua simba sio mbumbumbu tu ila pia ni viziwi kabisa , tushawaambia sana makolo timu yao mbovu wachezaji ni kiwango cha championship walete pesa tuwape Pacome na Max ila hawasikii, ona sasa jumatano watapigwa goli mbili safi ndani nje na kubaki na kombe la mapinduzi la mwaka juzi.

Kilio lazima simba wapeleke bodi ya ligi kudai matokeo yote yafutwe kisa eti Al Masry wameleta wachezaji warefu kuliko kina Kibu mipira yote ya juu wanacheza wao tu, pia watalalamikia upotezaji muda, waarabu kujiangusha, wachezaji Al Masry wana afya kuliko wa kwao na mwisho lawama kwa meneja uwanja kuzuia wazee na mbuzi kutinga lupaso, bodi itaiamrisha CAF na mechi zitarudiwa!
 
TFF na bodi ya ligi baada ya kukaa wameazimia Kufuta matokeo yaliyotokea huko Egypt Simba kupigwa goli 2

Bodi ya ligi imejiridhisha kuwa Simba walionewa baada ya kuzuiwa kufanya mazoezi

Pia bodi ya ligi imegundua kuwa Al Masry wakifunga magoli ya counter attack, Simba alionewa kwanini afungwe wakati alimiliki mipira 58%

Sababu nyingine ni kuwa Simba alinyimwa penalties 3 kwenye huo mchezo na wazee wa Simba waliitisha mkutano na kutishia kumuua mwamzi

V.A . R iliwabeba Waarabu

Pia GSM amethibitika anadhamini waarabu na pia bahasha walipewa waamzi na kipa wa Simba Camara alipata bahasha yakeView attachment 3294243
Hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sana
 
Unajua simba sio mbumbumbu tu ila pia ni viziwi kabisa , tushawaambia sana makolo timu yao mbovu wachezaji ni kiwango cha championship walete pesa tuwape Pacome na Max ila hawasikii, ona sasa jumatano watapigwa goli mbili safi ndani nje na kubaki na kombe la mapinduzi la mwaka juzi.

Kilio lazima simba wapeleke bodi ya ligi kudai matokeo yote yafutwe kisa eti Al Masry wameleta wachezaji warefu kuliko kina Kibu mipira yote ya juu wanacheza wao tu, pia watalalamikia upotezaji muda, waarabu kujiangusha, wachezaji Al Masry wana afya kuliko wa kwao na mwisho lawama kwa meneja uwanja kuzuia wazee na mbuzi kutinga lupaso, bodi itaiamrisha CAF na mechi zitarudiwa!
Alisikika utopwinyo mmoja hv kutoka kwa manjunju
 
Back
Top Bottom