Tetesi: Bodi ya ligi imeshaliwa Kichwa

Tetesi: Bodi ya ligi imeshaliwa Kichwa

Mechi ipo haipo? Haya mengine ni matokeo baada ya habari.
 
Yote Sawa lakini aibu ya mwisho ni nyie kuleta Timu uwanjani. Kama mna msimamo msilete Timu! Kwani Bodi kuondolewa ndio Sheria zitakua zimefuatwa! Insane
Wasitafute kivuli kama wao WANAWAKE kweli waspeleke timu uwanjani.🤣🤣🤣🤣
 
Hapo kwenye bold inaonyesha unaandika kishabiki hivyo habari yako inakosa sifa ya kuaminika.
Katika maisha kuna vitu vinaitwa Logic na Common sense, ukiwa unavitumia si kila wakati utaburuzwa, na waleta mada. Hata kama utaponda mtu ukweli husimama wenyewe.

Mkuu hakuna kanuni inayosema usipofanya mazoezi huchezi mechi , tena mechi kubwa ya derby , kwa kutumia akili ndogo tu unaweza kuona kuwa simba wamekimbia mechi kuogopa kufungwa mara ya Tano mfululizo na viongozi kutimuliwa, bado wanataka ugali, Huhitaji d mbili kuona hilo.

Pia kwa kutumia akili ndogo na kuweka ushabiki wa kolowizard pembeni unaweza kutambua kuwa bodi ya ligi si watu wa mpira ni wahuni tu waliokusanywa na boss mhuni mwenzao kufanya maamuzi ya mpira wasioujua na kwamba hawakutoa maamuzi sahihi hivyo kukosa uhalali wa kuendelea kukalia viti vyao, tena yapaswa washitakiwe kwa matumizi mabaya ya ofisi na wizi maana raia tumelipa tickets na mechi haikuchezwa huu ni wizi wa wazi. Serikali iwabane.

Yanga wana haki ya kupewa points tatu na kulipwa fidia kwakuwa uwanja wa mkapa si mali yao, kama simba walizuiwa kuingia na mabaunsa ambao hatuwezi kusema kisheria kuwa ni wa Yanga na kwa kutotoa kwao taarifa ya kuja uwanjani kufanya mazoezi, Sasa ilipaswa hao viongozi wahuni wa simba waripoti polisi na uongozi wa uwanja uite usaidizi wa askari hao vibonde waingie wakafanye mazoezi waje wakandwe khamsa. Yanga ina haki kutocheza derby ya kupanga matokeo.
 
Katika maisha kuna vitu vinaitwa Logic na Common sense, ukiwa unavitumia si kila wakati utaburuzwa, na waleta mada. Hata kama utaponda mtu ukweli husimama wenyewe.

Mkuu hakuna kanuni inayosema usipofanya mazoezi huchezi mechi , tena mechi kubwa ya derby , kwa kutumia akili ndogo tu unaweza kuona kuwa simba wamekimbia mechi kuogopa kufungwa mara ya Tano mfululizo. Huhitaji d mbili.

Pia kwa kutumia akili ndogo unaweza kutambua kuwa bodi ya ligi si watu wa mpira ni wahuni tu waliokusanywa kufanya maamuzi ya mpira wasioujua na kwamba hawakutoa maamuzi sahihi hivyo kukosa uhalali wa kuendelea kukalia viti vyao, tena yapaswa washitakiwe kwa matumizi mabaya ya ofisi na wizi maana raia tumelipa tickets na mechi haikuchezwa huu ni wizi wa wazi.
Kwa hiyo viongozi wa Simba ndiyo waliwakodi wale makomandoo wa Yanga kuja kuleta vurugu ili wapate kisingizio cha kutokuleta timu ?Yanga ndiyo waliogopa kufungwa ndiyo maana walianzisha vurugu .
 
Wafunguliwe Kesi haraka kwa kusababisha hasara na taharuki
 
Kwa hiyo viongozi wa Simba ndiyo waliwakodi wale makomandoo wa Yanga kuja kuleta vurugu ili wapate kisingizio cha kutokuleta timu ?Yanga ndiyo waliogopa kufungwa ndiyo maana walianzisha vurugu .
Unafikiri mpira mchezo wa kibao kata kama kule kwenu Tanga. Pole
 
Katika maisha kuna vitu vinaitwa Logic na Common sense, ukiwa unavitumia si kila wakati utaburuzwa, na waleta mada. Hata kama utaponda mtu ukweli husimama wenyewe.

Mkuu hakuna kanuni inayosema usipofanya mazoezi huchezi mechi , tena mechi kubwa ya derby , kwa kutumia akili ndogo tu unaweza kuona kuwa simba wamekimbia mechi kuogopa kufungwa mara ya Tano mfululizo. Huhitaji d mbili.

Pia kwa kutumia akili ndogo unaweza kutambua kuwa bodi ya ligi si watu wa mpira ni wahuni tu waliokusanywa na boss mhuni mwenzao kufanya maamuzi ya mpira wasioujua na kwamba hawakutoa maamuzi sahihi hivyo kukosa uhalali wa kuendelea kukalia viti vyao, tena yapaswa washitakiwe kwa matumizi mabaya ya ofisi na wizi maana raia tumelipa tickets na mechi haikuchezwa huu ni wizi wa wazi. Serikali iwabane.

Yanga wana haki ya kupewa points tatu na kulipwa fidia kwakuwa uwanja wa mkapa si mali yao, kama simba walizuiwa kuingia kwa kutotoa taarifa ilipaswa uongozi wa uwanja uite usaidizi wa askari hao vibonde waingie wakafanye mazoezi waje wakandwe khamsa. Yanga ina haki kutocheza derby ya kupanga matokeo.
Wakibanwa vizuri watasema hata kiasi cha pesa walichopewa na 5imba
 
Kibao kata unakijua wewe yaelekea ndiyo malezi yako.
Maana yangu ni kwamba mpira ni mchezo wa wanaume sio mchezo wa kususa susa, mmesusa alafu sasa hivi wakisusa wenzenu mnalalamika vipi kwani
 
Narudia hiyo Mechi Yanga watacheza. Narudia Tena hiyo Mechi Yanga mtacheza. Si kwamba kwasababu Mimi si mwana Yanga! Zipo sababu narudia Tena Yanga hawatafanikiwa kugomea mechi! Muda na utasema. Nipo nimelala zangu humu geto mtanishtua mida
 
Narudia hiyo Mechi Yanga watacheza. Narudia Tena hiyo Mechi Yanga mtacheza. Si kwamba kwasababu Mimi si mwana Yanga! Zipo sababu narudia Tena Yanga hawatafanikiwa kugomea mechi! Muda na utasema. Nipo nimelala zangu humu geto mtanishtua mida
 
Narudia hiyo Mechi Yanga watacheza. Narudia Tena hiyo Mechi Yanga mtacheza. Si kwamba kwasababu Mimi si mwana Yanga! Zipo sababu narudia Tena Yanga hawatafanikiwa kugomea mechi! Muda na utasema. Nipo nimelala zangu humu geto mtanishtua mida
Seleman
 
Back
Top Bottom