Tetesi: Bodi ya ligi imeshaliwa Kichwa

Tetesi: Bodi ya ligi imeshaliwa Kichwa

Mtajuana wenyewe huko, si mlisema mambo mepesi tuendelee kuvuta subra, karne ya 21 mnaleta mambo zama za mawe
Wauieni tena simba wasifanye mazoezi siku moja kabla ya mchezo muine kama watacheza
 
Kama mlichungulia tarehe 8 makaona 8 zinakuja mkatoka mbio.
Huo ujasiri mnautoa wapi?
Washukuruni hao bodi ya ligi kwa kuharibu mechi ili mponeee.
Mtauona ujasiri wetu siku ya mechi, mtake msitake lazima mlete timu uwanjani tuwashenyete kikubwa.
 
Mliandika barua hamtacheza mechi nmeshangaa sasa mnata kucheza wakati mabaunsa bado wapo
Tutaleta Timu kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi mkileta upuuzi wenu Hatuchezi mechi hadi upumbavu uwaishe...Hizo kelele sijui mlishacheza mechi tarehe 8 ni muendelezo wa upumbavu wenu na tarehe ya mechi ikipangwa mtaleta Timu na Ndio mtajua nyie ni wapumbafu tu
 
Neno tetesi sw na neno takataka TU
KAZI ni kipimo cha utu
 
Nazungumzia kupata point tatu muu wangu sasa hiyo ya mara ya mwisho ina faida gani kwa sasa? Mlete tu timu tunataka pointi zetu tatu kwa jasho siyo za mezani.
Mara ya mwisho kupata point 3 ilikua lini? tarehe 8 timu ilikuja uwanjani mlikua wapi?
 
Hadi kufikia hiyo tarehe Camara atakuwa ameshapona? Maana hamchelewi nyinyi kukimbia.
Tunao magolikipa watatu wote wa kiwango cha kuchezea Timu ya Taifa, msikimbie tuna hamu ya kuchukua point tatu kwenu maana kitambo hatujaokota kwenu,na za mezani hatutaki tunataka za jasho na damu.
 
Mitano mingine kwa Mwenyekiti Mangungu.
In fact Mangungu, Magori na Try again wanastahili tuzo.
Woga wao wa kupoteza mechi za derby mara 5 mfululizo umetusaidia kutuletea mjadala mzuri wa mageuzi katika uendeshaji wa soka letu.
Kwa vyovyote vile sakata hili litabadili mengi Sana ya ovyo kwenye bodi ya ligi.
 
Back
Top Bottom