Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 5,135
- 7,652
Ndiyo kazi uliyobaki nayo!Mitano mingine kwa Mwenyekiti Mangungu.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Ndiyo kazi uliyobaki nayo!Mitano mingine kwa Mwenyekiti Mangungu.
😄😄Kama ni kweli nakuahidi laki moja
Nani ameunda bodi na nani anaweza kuivunja?Za ndaaani ni kwamba Bodi ya ligi inayosimamiwa na Simba Sports Club imeliwa kichwa katika hatua za mwanzo za kutafuta suluhu.
Tuendelee kusubiri taarifa rasmi