Tetesi: Bodi ya ligi imeshaliwa Kichwa

Tetesi: Bodi ya ligi imeshaliwa Kichwa

TOFUTITU wote ndio walitakiwa waondoke. Mathalani kama ni watu waopenda kuwajibika na wanaofuata mfumo wa Sasa wa utumishi wa umma wa kuto kukaa ofisini na kutumia walio chini Yao na badala yake wakisikia tatizo wanakwenda viongozi wa juu mara Moja na kusuluisha, wangefika siku ile uwanjani na kuamuru hao mabaunsa fake wakamatwe na polisi na kumwamwamrisha mlizi afungue getintimu ikafanyeazoezi yasingetokea haya.Ila kwa sababu ni mamwinyi limewakatu la kuwakuta
 
Iyo Bodi itavunjwa na Wallec Karia mwenyewe na ndio suluhisho.

Baada ya kuivunja waje na plan ya kutafuta kampuni itakayo pewa dhamana ya kuendesha ligi.

Kampuni itumie sheria za Fifa na kanuni zinazotungwa kwa kushirikisha vilabu katika uendeshaji.

Kampuni iwe na wataalamu na taratibu zifuatwe bila kuingiliwa na Tff.
 
Za ndaaani ni kwamba Bodi ya ligi inayosimamiwa na Simba Sports Club imeliwa kichwa katika hatua za mwanzo za kutafuta suluhu.

Tuendelee kusubiri taarifa rasmi
Yote Sawa lakini aibu ya mwisho ni nyie kuleta Timu uwanjani. Kama mna msimamo msilete Timu! Kwani Bodi kuondolewa ndio Sheria zitakua zimefuatwa! Insane
 
Ni uzushi tu hii ni nchi yetu tunaijua, yale maamuzi wala hayakuwa ya bodi ya ligi

Labda watolewe kama mbuzi wa kafara
 
Za ndaaani ni kwamba Bodi ya ligi inayosimamiwa na Simba Sports Club imeliwa kichwa katika hatua za mwanzo za kutafuta suluhu.

Tuendelee kusubiri taarifa rasmi
Bodi ya remote tena remote kaishika Mangungu🤣
 
Za ndaaani ni kwamba Bodi ya ligi inayosimamiwa na Simba Sports Club imeliwa kichwa katika hatua za mwanzo za kutafuta suluhu.

Tuendelee kusubiri taarifa rasmi
Ni Tanzania pekee Mtu akiaharibu anakomaa hajiuzulu na anatetewa na Karia.
 
kweli wenye akili wawili tu kule.
Za ndaaani ni kwamba Bodi ya ligi inayosimamiwa na Simba Sports Club imeliwa kichwa katika hatua za mwanzo za kutafuta suluhu.

Tuendelee kusubiri taarifa rasmi
Za ndaaani ni kwamba Bodi ya ligi inayosimamiwa na Simba Sports Club imeliwa kichwa katika hatua za mwanzo za kutafuta suluhu.

Tuendelee kusubiri taarifa rasmi
 
Za ndaaani ni kwamba Bodi ya ligi inayosimamiwa na Simba Sports Club imeliwa kichwa katika hatua za mwanzo za kutafuta suluhu.

Tuendelee kusubiri taarifa rasmi
Hapo kwenye bold inaonyesha unaandika kishabiki hivyo habari yako inakosa sifa ya kuaminika.
 
Back
Top Bottom