jaffari odhiambo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 526
- 13
Hawa ndio madereva pikipiki/Toyo wazuri wa uendeshaji tena waaminifu.Wanapatikana katika wilaya ya Bunda mkoani Mara. Vijana hawa
wanapaki mtaa wa baisikeli nyumanya soko kuu karibu na duka la Nyamongo Hardware.
Kwa mawasiliano zaidi wanapatikana kwa namba zifuatazo : 0788043177, 0768215677,0682819436, 0765751413, 0753183313 na 0753216886. Mda wowote ukipiga unawapata.
Hata ukiwa mgeni ukifika Bunda piga moja kati ya hizo namba ili upate usafiri wa uhakika maana wana mwendo mzuri kwa sababu abiria anaendeshwa kwa speed anayotaka yeye abiria.
Karibuni sana kwa usafiri wa uhakika. Piga simu mda wowote ila kazi wanafunga kuanzia saa 2:30 usiku. Thank you in advance.
wanapaki mtaa wa baisikeli nyumanya soko kuu karibu na duka la Nyamongo Hardware.
Kwa mawasiliano zaidi wanapatikana kwa namba zifuatazo : 0788043177, 0768215677,0682819436, 0765751413, 0753183313 na 0753216886. Mda wowote ukipiga unawapata.
Hata ukiwa mgeni ukifika Bunda piga moja kati ya hizo namba ili upate usafiri wa uhakika maana wana mwendo mzuri kwa sababu abiria anaendeshwa kwa speed anayotaka yeye abiria.
Karibuni sana kwa usafiri wa uhakika. Piga simu mda wowote ila kazi wanafunga kuanzia saa 2:30 usiku. Thank you in advance.