HesabuuTatizo wanajifanya Wana haraka sana sijui huwa wana wahi wapi.
Chanzo kikuu cha ajali nyingi za bodaboda ni reckless and un-calculated speedy riding.
Ndo mnavyosemaga unakufa kishujaa eti
Sasa hesabu za boss ndio zisababishe uone uhai wako hauna maana??Hesabuu
Mkuu upo sahihi kabisa, Jaman Boda boda ni Hatari. Tena Kifo Kibayaipo siku yatakukuta
Hii ni pikipiki kweli imeifanya hivi Nissan patrol? Sipati picha ingekuwa istNi kweli kifo sehemu yeyote ila hapa kipo jirani zaidiView attachment 1661999
Kifo ni popote hata kama unauza maembe na matikiti unaweza pigwa na radi wakati wa mvua ukafa!! Sio hiyo tu hata kama upo bank kikazi jengo linaweza kuporomoka ukafa hapohapo, haijarishi ni kazi gani, kifo kipo pale pale labda jambo la msingi ni kusisitiza umakini wa dreva na ufahamu juu ya kazi yake, lakini suala la kifo ni popote tu. Kinawafanya boda boda kupata ajali kupelekea kifo ni umakini, wapo careless sana wawapo barabarani na wengine unakuta keshapuliza afu anaendesha chombo cha moto nayo ni changamoto. Wengine akakimbia speed kubwa kwa kutaka sifa yaani ni vitu vya ajabu sana.Ewe mama/ baba unaempakia mwanao au wanao wawili kwenye boda boda kupelekwa shule acha ufala ,upumbavu na uvivu. Boda boda ni kifo!
Ewe mdada wa chuo unaeupenda urembo wako na uzuri wako ,boda boda ni kifo.
Ewe boda boda tafuta kazi ya nyingine kufanya achana na huo upumbavu wa boda boda!
Unajua nini kuhusu riskKifo ni popote hata kama unauza maembe na matikiti unaweza pigwa na radi wakati wa mvua ukafa!!Sio hiyo tu hata kama upo bank kikazi jengo linaweza kuporomoka ukafa hapohapo,haijarishi ni kazi gani,kifo kipo pale pale labda jambo la msingi ni kusisitiza umakini wa dreva na ufahamu juu ya kazi yake,lkn suala la kifo ni popote tu.Kinawafanya boda boda kupata ajali kupelekea kifo ni umakini,wapo careless sana wawapo barabarani na wengine unakuta keshapuliza afu anaendesha chombo cha moto nayo ni changamoto.Wengine akakimbia speed kubwa kwa kutaka sifa yaani ni vitu vya ajabu sana.
Sielewi nisaidie kunidadavuliaUnajua nini kuhusu risk
Unajua nini kuhusu takwimu
Umesema maneno ya ukweli kabisa,hata sijui tufanye nini ndugu,marafiki,na watu wetu wa karibu,na wasio wa karibu yetu,watusikie,wasitumie usafiri huu.Ewe mama/ baba unaempakia mwanao au wanao wawili kwenye boda boda kupelekwa shule acha ufala, upumbavu na uvivu. Boda boda ni kifo!
Ewe mdada wa chuo unaependa urembo wako na uzuri wako, boda boda ni kifo.
Ewe boda boda tafuta kazi ya nyingine ya kufanya achana na huo upumbavu wa boda boda!
Mbona kilimo kinalipa sana,wende kwenye kilimo.Ukilima mahindi,pilipili,nyanya,Bamia,bogaboga.Biashara za kuuza nyanya,mbogamboga,malimau,machungwa,mananasi,maembe nk,inalipa vizuri tu,huku una shamba,umepanda mazao mbalimbali.Elimu zaidi inahitajika kutolewa kwa hao bodaboda maana imeajiri wengi na watu wanalea familia zao kupitia bodaboda wakiaacha watafanya shughuli gani? Au warudi kuwa wezi?
Kuna kundi kalitaja hapo hilo kundi la watoto namuunga mkono, huwezi ukampakiza mtoto kwenye boda boda its too risk, labda kama unachukulia poa ila ni hatari, zuio ni bora zaidi ya kutibuAcha kuharibia biashara za vijana wanaojiajiri. Ajali husababishwa na kutozingatia sheria na alama za barabarani. Waache vijana wajiajiri
Walikufa wote hao wa pikipiki walikuwa wawili.DAAH YANI BODABODA NDO IMEIFANYA NAMNA HII HII NISSAN SAFARI???DUU ALIPONA KWELI HUYO MWENYE PIKIPIKI?