mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 95,895
- 136,814
50/50Samahani aisee usipokuwa dereva wa boda asilimia za kufa zinakuwa ngapi?
Nkupe mfano tu,una boda unakaa gomz au kibamba na kazi zako ziko mjini na kila siku usafiri wako ni boda,I am telling you kwa usafiri huo hutamaliza miezi 2 lazima utakutana na jambooo tu
Ova