Bodaboda ni kazi ya ku take risk sana

Bodaboda ni kazi ya ku take risk sana

Samia atosha tukutane2030

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
17,169
Reaction score
48,681
Risk wanayotake bodaboda ni kubwa sana, bodaboda anatake risk kila siku kwa kuotafuta elfu 1.

Kwa kila safari moja ya sh. Elfu 1, 2, 3 n.k bodaboda anaweka rehani roho yake.
1745240466275.jpg
 
Risk wanayotake bodaboda ni kubwa sana. Ni heri risk wanayopata mahambazi. Jambazi anatake risk kwa dili la millioni 40, 60, 100 n.k
While bodaboda anatake risk kila siku kwa kuotafuta elfu 1.
Kila safari moja ya sh. Elfu 1, 2, 3 n.k bodaboda anaweka rehani roho yake.
View attachment 3311075
Huo ndio mgawanyo wa kazi mkuu!
 
Risk wanayotake bodaboda ni kubwa sana. Ni heri risk wanayopata mahambazi. Jambazi anatake risk kwa dili la millioni 40, 60, 100 n.k
While bodaboda anatake risk kila siku kwa kuotafuta elfu 1.
Kila safari moja ya sh. Elfu 1, 2, 3 n.k bodaboda anaweka rehani roho yake.
View attachment 3311075
maskini jamani
 
Risk wanayotake bodaboda ni kubwa sana, bodaboda anatake risk kila siku kwa kuotafuta elfu 1.

Kwa kila safari moja ya sh. Elfu 1, 2, 3 n.k bodaboda anaweka rehani roho yake.
View attachment 3311075
Hao watu ni mtaji wa Chama cha mapinduzi (CCM) ,malipo Yao ni kujaziwa mafuta kwenye pikipiki zao wakati wa kampeni
 
Back
Top Bottom