PostGE2025 Bodaboda: Desemba 9 hatutoki amani yetu taifa letu

PostGE2025 Bodaboda: Desemba 9 hatutoki amani yetu taifa letu

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Kwani MO29 mlivyotoa haya matamko ya kupangwa maandamano hayakufanyika?
Kwanza mimi sikuona bodaboda zaidi ya watembea kwa miguu akadeal na watembea kwa miguu sio nyie
 
Kuna vipi vinashangaza sana sana kwamba hapo ndo wameaminihao madogo wamewaelewa? Moto uliopo chini ni mkali sana
 
D9 tutatoka tena Tanganyika huru Bora kufa nikipigania uhuru wa watanganyika.kuliko kufa kwa ajali, magonjwa au uzee
 
Policcm inabidi isajiliwe kuwa chama cha kisiasa kwa sasa.

Hizi sarakasi wala hazitowafikisha kokote , nguvu ya umma ni kubwa, huwezi kustage igizo kuamisha hao ni kundi fulani huku kuna watu wameuliwa ndugu zao na hawajapata hata miili wakaizike mkiamini amani ipo, histori huwa ina tabia ya kujirudia.

Shauri yenu.
 
Nani kasema haya maandamano ni ya bodaboda!? Wao wakalale kabisa,hawajaalikwa, sheikh majini na yule mwandishi wa habari clouds waliouwa walikuwa bodaboda kwenye maandamano ya Mo29!?
Ubaya wa hizi vurugu zinapotokea huwa zinawakumba walio kuwepo na wasio kuwepo, hii ni tangu na tangu. Ndio maana tunazikemea.


Kingine CCM imezoea kuwalisha maneno watu, yaani ujinga wa CCM na chawa wao wanaulazimisha kwa taifa Zima.
Vijana mna akili ndogo sana, yaani watu wakitetea amani mnasema machawa. Hii haibadilishi ukweli ya kuwa Amani ni tunu kubwa sana na inatakiwa ilindwe. Huwezi kudai haki sehemu ambayo haina amani.
 
Back
Top Bottom