Shida ni huo mstari kabla ya bracketAiseee,,Leo nilimpeleka wife saloon na usafiri wangu,, akanipa na. cash nijaze mafuta ili nimgate baadae,,,(wote ni watumishi) Sasa ile kamaliza katuma text ,,nimemaliza ,,afu najiandaa nimfate namuona kaibuka home?. Nikamuliza umekujaje akasema kampigia boda!.. nikamuliza ulipo text ukaona kimya.ulishindwa kupiga ?. Akasema boda mwenyewe kamkuta njiani!.. ku hem simu yake ilikua tofauti ,,inaonekana amepigia boda boda na wamechati ,,,,!... Am sooo down guys ?. Nilikua close na phone balaaa
😂😂😂😂😂Hapo kama vipi jichukulie tu sheria mkononi, halafu unaenda zako jela. Hakuna namna. Kipigiwa mke kunauma sana! Tena na bodaboda ambaye kichwani amenyoa kiduku!
Naomba niwe boda wako.Hili suala la boda boda kuwa na mazoea nao kiasi cha kupitiliza, watu wanawezajee?
Najua ni kurahisisha usafiri na mizunguko fulani, ila iwe kwa kiasi, na sio kupitiliza mipaka.
Kuna mate, nusu apoteze ndoa yake, kisa mazoea ya kiwaki na boda, afu sijui wanakua na mentality ya namna ipi, kwa kudhani kila wamzoeae bas anaingilika kirahisi, na hawajari kabisaa.
Siwezi kuwa na mazoea ya kupitiliza kwa boda, hata iwajee, ni wambea, wadaku, wakuda, wafukunyuku, waharibu ndoa na maisha ya watu. Etc.
Wengine wanawezajeee??
Aiseee leo nilimpeleka wife saloon na usafiri wangu, akanipa cash nijaze mafuta ili nimfate baadaye.
Wote ni watumishi.
Ile kamaliza, katuma text “nimemaliza,” nikaanza kujipanga nimfate, mara namuona kaibuka home.
Nikamuuliza umekujaje, akasema kampigia boda. Nikamuuliza ulipo text ukaona kimya, uliona tabu kupiga? Akasema boda mwenyewe kamkuta njiani.
Simu yake ilikuwa tofauti, inaonekana amepigia boda na wamechati.
Niko down vibaya guys.
Nilikua close na phone balaaa.
🥰🥰Hili suala la boda boda kuwa na mazoea nao kiasi cha kupitiliza, watu wanawezajee?
Najua ni kurahisisha usafiri na mizunguko fulani, ila iwe kwa kiasi, na sio kupitiliza mipaka.
Kuna mate, nusu apoteze ndoa yake, kisa mazoea ya kiwaki na boda, afu sijui wanakua na mentality ya namna ipi, kwa kudhani kila wamzoeae bas anaingilika kirahisi, na hawajari kabisaa.
Siwezi kuwa na mazoea ya kupitiliza kwa boda, hata iwajee, ni wambea, wadaku, wakuda, wafukunyuku, waharibu ndoa na maisha ya watu. Etc.
Wengine wanawezajeee??
Wee sema kweli?! 😂😂😂😂Naomba niwe boda wako.