Reggae ni nziki wa style, na kila mwanamziki wa reggae and staili yake. Kwa hiyo ukiipenda style flani basi utampenda huyo mwanamziki. Bob anastaili yake
Luck Dube ana staili yake
Alfa Blondy, Culture, UB40, Gregory Isaac na wengine wengi wana stlye zao.
Kwa kweli sitamuelewa mtu atakayesema mwanamziki flani wa reggae yuko juu ya mwenzake. kwanza nitamuona hajui mziki wa reggae.
kwangu hata mtanzania Justine Kalikawe ana mziki mkali zaidi ya Bob. Hata hivyo na Bob nae anemambo yake makali ambayo Kalikawe hana.
Mziki wa reggae ni mziki wa ujumbe, sala-imani na burudani. mwanamziki mingine anaweza changanya yote hayo au akaweka kipengere kimpja tu.
tena kuna aina mbalimbali za reggae, mfano roots, sweet reggae, reggae maffin nk.
Pia kuna mwingine atapenda live perfomance, mwingine atapenda mashairi zaidi, mwingine atapenda kuchanganya kila chombo cha mziki, mwingine atapenda baadhi tu ya vyombo ya mziki.
kwanza kwa wana reggae wa ukweli hakuna atakayeanza kulinganisha mziki wa mtu na mtu mwingine. huo ni utengano na ni uchochezi.
Tulinganishe miziki mingine tu... Reggae tuachane nayo