Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

ana uwezo mzuri sana wa kukata mauno tatizo wakati mwingine nakatika out of beats halafu ni producer daaah!huwa anafanya makusidi au ndo anakuwa amenogewa?imashoga wachache sana ambao wameweza kukiri mbele ya kadamnasi kuwa wao ni mashoga so sio issue kukataa issue ukweli halisi ni upi?ukweli huo si rahisi kupata kwa kuulizwa na vyombo vya habari!Diamond na marafiki zake wa karibu wanajua ukweli wenyewe!msanii ni kuwa na identity lakini kwa Bob Junior amezidisha UREMBO namsihi azidishi UTANASHATI na siyo urembuaji wa macho au mambo ya makaroraiti(caro light)au mikorogo!
 
madogo, ushamba unawatala, hawataki uasilia wanataka umarekani, mwisho mnaonekana kama wanawake.
 
Huu ni ushamba kumtafsiri mtu tofauti na vile alivyo, kukata viuno ni kazi ya sanaa kwani wacheza show za muziki huwa wanafanya nini? Hata hivyo wasanii wangapi duniani wanakata viuno? Mbona hata Mr Nice enzi hizo alikuwa viuno kwa kwenda mbele, je ni shoga?

H Baba nae hivyo hivyo, je ni shoga? Fally Ipupa nae,j e ni SHOGA? Acheni kufuatilia maisha ya mtu kama mnapenda muziki pendeni muziki kama hampendi kazi zake mpotezeeni acheni kumfuatafuata katika maisha binafsi.

Hata kama ni shoga yanawahusu? kuweni basi na nyinyi mashoga kama mnamuonea wivu, Elton John na wengine maarufu ni mashoga na wapo juu ile mbaya mbona hamsemi?

Acheni hizo kwanza nafikiri hamjui nini maana ya sanaa au nini maana ya msanii ndio maaana mnakurupuka na kumpakazia Bob Junior. Bob Junior kama unisoma hii mzee nakushauri makamuzi ya viuno kwa kwenda mbele asiependa kazi zako na akupotezee sio lazima awe fan wako, hiyo ni sanaa na lazima msanii aheshimiwe kulingana na hisia na mawazo yake.

Bob Junior be more concerned with your character than reputation, because a character is what really you are and reputation is what people think you are...wapotezeeeeeee.
 
Huu ni ushamba kumtafsiri mtu tofauti na vile alivyo, kukata viuno ni kazi ya sanaa kwani wacheza show za muziki huwa wanafanya nini? Hata hivyo wasanii wangapi duniani wanakata viuno? Mbona hata Mr Nice enzi hizo alikuwa viuno kwa kwenda mbele, je ni shoga?

H Baba nae hivyo hivyo, je ni shoga? Fally Ipupa nae,j e ni SHOGA? Acheni kufuatilia maisha ya mtu kama mnapenda muziki pendeni muziki kama hampendi kazi zake mpotezeeni acheni kumfuatafuata katika maisha binafsi.

Hata kama ni shoga yanawahusu? kuweni basi na nyinyi mashoga kama mnamuonea wivu, Elton John na wengine maarufu ni mashoga na wapo juu ile mbaya mbona hamsemi?

Acheni hizo kwanza nafikiri hamjui nini maana ya sanaa au nini maana ya msanii ndio maaana mnakurupuka na kumpakazia Bob Junior. Bob Junior kama unisoma hii mzee nakushauri makamuzi ya viuno kwa kwenda mbele asiependa kazi zako na akupotezee sio lazima awe fan wako, hiyo ni sanaa na lazima msanii aheshimiwe kulingana na hisia na mawazo yake.

Bob Junior be more concerned with your character than reputation, because a character is what really you are and reputation is what people think you are...wapotezeeeeeee.
Hao wote uliowataja wanakata viuno lakini hawajazushiwa ushoga,lakini huyu kazushiwa.Hapo ndo ujiulize ana nini cha ziada kilichowafanya mashabiki wamfikirie hvyo?
 
mwatuharibia weekend zetu.... kawakosea nin msanii huyu... Wabara taabu sana.. umbeeeeaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.. mnaboaa
 
Hao wote uliowataja wanakata viuno lakini hawajazushiwa ushoga,lakini huyu kazushiwa.Hapo ndo ujiulize ana nini cha ziada kilichowafanya mashabiki wamfikirie hvyo?

stop that...pse... mwanaume kama wewe unaposhupalia kitu ambacho huna uhakika nacho waonekana wewe ndo "bwabwa"
 
stop that...pse... mwanaume kama wewe unaposhupalia kitu ambacho huna uhakika nacho waonekana wewe ndo "bwabwa"
Hivi umenielewa nilichokiandika!!,au umeamua kunitukana tu ,kukaa nyuma ya computer kusikufanye ujihisi uko safe bro.
 
Huu ni ushamba kumtafsiri mtu tofauti na vile alivyo, kukata viuno ni kazi ya sanaa kwani wacheza show za muziki huwa wanafanya nini? Hata hivyo wasanii wangapi duniani wanakata viuno? Mbona hata Mr Nice enzi hizo alikuwa viuno kwa kwenda mbele, je ni shoga?

H Baba nae hivyo hivyo, je ni shoga? Fally Ipupa nae,j e ni SHOGA? Acheni kufuatilia maisha ya mtu kama mnapenda muziki pendeni muziki kama hampendi kazi zake mpotezeeni acheni kumfuatafuata katika maisha binafsi.

Hata kama ni shoga yanawahusu? kuweni basi na nyinyi mashoga kama mnamuonea wivu, Elton John na wengine maarufu ni mashoga na wapo juu ile mbaya mbona hamsemi?

Acheni hizo kwanza nafikiri hamjui nini maana ya sanaa au nini maana ya msanii ndio maaana mnakurupuka na kumpakazia Bob Junior. Bob Junior kama unisoma hii mzee nakushauri makamuzi ya viuno kwa kwenda mbele asiependa kazi zako na akupotezee sio lazima awe fan wako, hiyo ni sanaa na lazima msanii aheshimiwe kulingana na hisia na mawazo yake.

Bob Junior be more concerned with your character than reputation, because a character is what really you are and reputation is what people think you are...wapotezeeeeeee.

Another SHOGA in making....!!!
 
Huu ni ushamba kumtafsiri mtu tofauti na vile alivyo, kukata viuno ni kazi ya sanaa kwani wacheza show za muziki huwa wanafanya nini? Hata hivyo wasanii wangapi duniani wanakata viuno? Mbona hata Mr Nice enzi hizo alikuwa viuno kwa kwenda mbele, je ni shoga? <br />
<br />
H Baba nae hivyo hivyo, je ni shoga? Fally Ipupa nae,j e ni SHOGA? Acheni kufuatilia maisha ya mtu kama mnapenda muziki pendeni muziki kama hampendi kazi zake mpotezeeni acheni kumfuatafuata katika maisha binafsi. <br />
<br />
Hata kama ni shoga yanawahusu? kuweni basi na nyinyi mashoga kama mnamuonea wivu, Elton John na wengine maarufu ni mashoga na wapo juu ile mbaya mbona hamsemi? <br />
<br />
Acheni hizo kwanza nafikiri hamjui nini maana ya sanaa au nini maana ya msanii ndio maaana mnakurupuka na kumpakazia Bob Junior. Bob Junior kama unisoma hii mzee nakushauri makamuzi ya viuno kwa kwenda mbele asiependa kazi zako na akupotezee sio lazima awe fan wako, hiyo ni sanaa na lazima msanii aheshimiwe kulingana na hisia na mawazo yake.<br />
<br />
Bob Junior be more concerned with your character than reputation, because a character is what really you are and reputation is what people think you are...wapotezeeeeeee.
<br />
<br />
Kuna ukataji wa kishoga na kimuziki na ile karikiti pale kichwani karolait na ktk video yake na nuru ile ya Muhogo Andazi alijisifia eti si mashombeshombe sasa mnataka mpaka awaletee picha masaburi yake yaki***
 
jamaa anaongelea puani,uku anajilambalamba lips,jicho linalegezwa km kala kungu wacha tu watu wawe na mashaka,ata mi pia simwelewi kabisa haswa akikata kiuno chake taratiiiiibu na staili yake km anajibinua kidogo....
 
Back
Top Bottom