Hao wote uliowataja wanakata viuno lakini hawajazushiwa ushoga,lakini huyu kazushiwa.Hapo ndo ujiulize ana nini cha ziada kilichowafanya mashabiki wamfikirie hvyo?Huu ni ushamba kumtafsiri mtu tofauti na vile alivyo, kukata viuno ni kazi ya sanaa kwani wacheza show za muziki huwa wanafanya nini? Hata hivyo wasanii wangapi duniani wanakata viuno? Mbona hata Mr Nice enzi hizo alikuwa viuno kwa kwenda mbele, je ni shoga?
H Baba nae hivyo hivyo, je ni shoga? Fally Ipupa nae,j e ni SHOGA? Acheni kufuatilia maisha ya mtu kama mnapenda muziki pendeni muziki kama hampendi kazi zake mpotezeeni acheni kumfuatafuata katika maisha binafsi.
Hata kama ni shoga yanawahusu? kuweni basi na nyinyi mashoga kama mnamuonea wivu, Elton John na wengine maarufu ni mashoga na wapo juu ile mbaya mbona hamsemi?
Acheni hizo kwanza nafikiri hamjui nini maana ya sanaa au nini maana ya msanii ndio maaana mnakurupuka na kumpakazia Bob Junior. Bob Junior kama unisoma hii mzee nakushauri makamuzi ya viuno kwa kwenda mbele asiependa kazi zako na akupotezee sio lazima awe fan wako, hiyo ni sanaa na lazima msanii aheshimiwe kulingana na hisia na mawazo yake.
Bob Junior be more concerned with your character than reputation, because a character is what really you are and reputation is what people think you are...wapotezeeeeeee.
Hao wote uliowataja wanakata viuno lakini hawajazushiwa ushoga,lakini huyu kazushiwa.Hapo ndo ujiulize ana nini cha ziada kilichowafanya mashabiki wamfikirie hvyo?
Hivi umenielewa nilichokiandika!!,au umeamua kunitukana tu ,kukaa nyuma ya computer kusikufanye ujihisi uko safe bro.stop that...pse... mwanaume kama wewe unaposhupalia kitu ambacho huna uhakika nacho waonekana wewe ndo "bwabwa"
Huu ni ushamba kumtafsiri mtu tofauti na vile alivyo, kukata viuno ni kazi ya sanaa kwani wacheza show za muziki huwa wanafanya nini? Hata hivyo wasanii wangapi duniani wanakata viuno? Mbona hata Mr Nice enzi hizo alikuwa viuno kwa kwenda mbele, je ni shoga?
H Baba nae hivyo hivyo, je ni shoga? Fally Ipupa nae,j e ni SHOGA? Acheni kufuatilia maisha ya mtu kama mnapenda muziki pendeni muziki kama hampendi kazi zake mpotezeeni acheni kumfuatafuata katika maisha binafsi.
Hata kama ni shoga yanawahusu? kuweni basi na nyinyi mashoga kama mnamuonea wivu, Elton John na wengine maarufu ni mashoga na wapo juu ile mbaya mbona hamsemi?
Acheni hizo kwanza nafikiri hamjui nini maana ya sanaa au nini maana ya msanii ndio maaana mnakurupuka na kumpakazia Bob Junior. Bob Junior kama unisoma hii mzee nakushauri makamuzi ya viuno kwa kwenda mbele asiependa kazi zako na akupotezee sio lazima awe fan wako, hiyo ni sanaa na lazima msanii aheshimiwe kulingana na hisia na mawazo yake.
Bob Junior be more concerned with your character than reputation, because a character is what really you are and reputation is what people think you are...wapotezeeeeeee.
<br />Huu ni ushamba kumtafsiri mtu tofauti na vile alivyo, kukata viuno ni kazi ya sanaa kwani wacheza show za muziki huwa wanafanya nini? Hata hivyo wasanii wangapi duniani wanakata viuno? Mbona hata Mr Nice enzi hizo alikuwa viuno kwa kwenda mbele, je ni shoga? <br />
<br />
H Baba nae hivyo hivyo, je ni shoga? Fally Ipupa nae,j e ni SHOGA? Acheni kufuatilia maisha ya mtu kama mnapenda muziki pendeni muziki kama hampendi kazi zake mpotezeeni acheni kumfuatafuata katika maisha binafsi. <br />
<br />
Hata kama ni shoga yanawahusu? kuweni basi na nyinyi mashoga kama mnamuonea wivu, Elton John na wengine maarufu ni mashoga na wapo juu ile mbaya mbona hamsemi? <br />
<br />
Acheni hizo kwanza nafikiri hamjui nini maana ya sanaa au nini maana ya msanii ndio maaana mnakurupuka na kumpakazia Bob Junior. Bob Junior kama unisoma hii mzee nakushauri makamuzi ya viuno kwa kwenda mbele asiependa kazi zako na akupotezee sio lazima awe fan wako, hiyo ni sanaa na lazima msanii aheshimiwe kulingana na hisia na mawazo yake.<br />
<br />
Bob Junior be more concerned with your character than reputation, because a character is what really you are and reputation is what people think you are...wapotezeeeeeee.
Barabuu siku hizi haendi nao Dubai hawa!
siku hizi hali samaki nini?
anakula bata labda lol[/QUOTE
nilisahau Dubai walibadili kitoweo!
Hata kama ni shoga yanawahusu?