tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 499
Joka hili ndio joka kubwa sana katika dunia hii, alionekana na kuuawa huko Kusini Mashariki mwa Malasya nyoka huyo (giant snake) alikuwa na uzito wa kg 300 urefu 55feet, 16.7meters likiwa na umri wa miaka 140.
Mtu aliemgundua nyoka huyo alipatwa na mshituko wa moyo na alifariki baadae. Bulldozer ndio lilitumika kumnyanyua nyoka huyo.