Bluray and the Role of Preciseness/Precision in Development

Mfalme Menelik II wa Ethiopia - Hakukubali Ukoloni

menelik.gif
 
Mangi..you bring an interesting point kuhusu history na patriotism. Hivi niambie wanaoscrew Africa leo si ndo hao hao wasomi? au unataka mpaka waafrika wote twende vyuo vikuu? ndo tujikomboe? Leo wanaokula rushwa na kuchota pesa BOT za kufanyia kampeni si hao hao wasomi unaowaongelea? AND WHY DO THEY DO IT? PRECISELY BECAUSE WANAJUA HAWANA WA KUWAULIZA. Wakigundua kwamba unakelele sana..you will be co-opted kwenye meza ya ufisadi. And the game continues...

Tuache kujipa hopes na kuisingizia historia. Africa....ndo bara pekee hatujifunzi kutokana na historia yetu. Jiulize..tulinyanyaswa na mzungu kama makoloni..na mateso mengineyo..lakini leo hii..ni sisi hawa hawa..tunasaini mikataba ya miaka 20 ambayo haitusaidii kabisa.Implication yake ni nini? ...huwezi kutegemea kwamba umasikini utaisha in our life time! Maana sasa tunasaini mikataba ya miaka 20-30..ambayo inapora raslimali zetu! Ambazo zingetusaidia kusonga mbele..upo?

Nimefuatilia mkutano wa Copenhagen...ukiangalia China...kila siku anasema ni mwenzetu kwa vile "eti" na yeye ni developing country..lakini ukweli umeona kabisa..jamaa alivyokataa kata kata...kujicommit na emissions na anajua zinatuumiza sisi masikini ambao anasema eti ni wenzake....sasa kama anaona ni big brother wetu...si angesema jamani.....nitawasidia hivi..political deal aliyo clinch ni yake na Obama....na wengine..Simply say...hali yetu ni ngumu sana and we dont learn. Sijui tupate matatizo yapi..zaidi ya tuliyonayo..kusudi tuweze kujifunza. Labda unisaidie kwa hilo...

Anayoyasema Julius hapa....mimi sioni tatizo lake..maana the chap is confronting you with hard facts...prove him otherwise.

Usomi and patriotism got nothing to do with each other,nashangazwa na jibu lako hili,ungetafuta namna nyingine ya kujibu coz point yangu ni tofauti kabisa na maelezo yako hapo juu....Umeviweka on your own perspectives at the same time una assume kwamba mimi ndivyo nilivyomaanisha,soma posting za wenzako kwa makini kabla hujajibu....History na patriotism vinahusiana vipi na hiyo elimu? maana hauko stable kwenye point yako neways....Na hayo ya Julius na hard facts ni zipi hizo?Kwani kipi nilichosema ambacho si hard fact,usijibu posting na kutwist point coz sometimes labda huelewi.
 
Wakuu 'Weusi' wa Misri ya Kale Walipokuwa Wakihudumiwa na 'Weupe'

Nubian-kemsit.jpg

Achane na haya mambo ya pride. Watu weusi wako wengi. Hata kusini ya India ni watu weusi na walikuwa na ustraabu wao.

Haya mambo ya kutaka mafanikio by association ni ya kipuuzi. Ndio maana kuna watu kwenye hule ukumbi wa habari mchanganyiko wanatumia ustaarabu wa Mwarabu au Muajemi kuonyesha kuwa mchango wao kama waIslamu. Na wengine watatumia maendeleo ya mzungu, kuonyesha kuwa waKristo walivyoendelea.
 
Usomi and patriotism got nothing to do with each other,nashangazwa na jibu lako hili,ungetafuta namna nyingine ya kujibu coz point yangu ni tofauti kabisa na maelezo yako hapo juu....Umeviweka on your own perspectives at the same time una assume kwamba mimi ndivyo nilivyomaanisha,soma posting za wenzako kwa makini kabla hujajibu....History na patriotism vinahusiana vipi na hiyo elimu? maana hauko stable kwenye point yako neways....Na hayo ya Julius na hard facts ni zipi hizo?Kwani kipi nilichosema ambacho si hard fact,usijibu posting na kutwist point coz sometimes labda huelewi.

Well, since you pretend to be the custodian of knowlegde kwa kuwa- brand wenzako kwamba hawaelewi, ni vyema kukuacha ulivyo. Maana kuna wengine sisi..hatuna jadi ya kujadili personalities. I dont think its appropriate kukujibu hapa. Ila what I can tell you...usimwambie mwenzako kwamba haelewi..simply because wewe hukumuelewa alichokiandika. Humu tuko wengi hatujuani na wala hujui uelewa wangu. Kifupi hunijui.... So wewe jadili hoja. Achana na Masanja. Awe anaelewa awe haelewi, ni irrelevant kwako. Cha muhimu hapa tunajadili namna ya kupambana na umasikini wa taifa letu.

Heri ya Noel,

Masanja,
 
Well, since you pretend to be the custodian of knowlegde kwa kuwa- brand wenzako kwamba hawaelewi, ni vyema kukuacha ulivyo. Maana kuna wengine sisi..hatuna jadi ya kujadili personalities. I dont think its appropriate kukujibu hapa. Ila what I can tell you...usimwambie mwenzako kwamba haelewi..simply because wewe hukumuelewa alichokiandika. Humu tuko wengi hatujuani na wala hujui uelewa wangu. Kifupi hunijui.... So wewe jadili hoja. Achana na Masanja. Awe anaelewa awe haelewi, ni irrelevant kwako. Cha muhimu hapa tunajadili namna ya kupambana na umasikini wa taifa letu.

Heri ya Noel,

Masanja,

Kwanza unachachawa nini?Wapi nimepretend kuwa custodian wa knowledge?Ama ndio mambo ya complexes?When and where nimejadili personality?nikisema hujaelewa nimeijadili personality yako?Na unaposema achana na Masanja una maana gani?Wapi nimekufuata?Wewe si umejibu posting yangu na mimi nikakuonyesha upupu wako,sasa tatizo liko wapi?Umejibu posting yangu na ukaelezea maneno ama kuyahusisha kwa namna ambayo sikufanya,ukalinganisha usomi na uzalendo na ukaendelea kubwabwaja,sasa kosa la nani?Siyo irrelevant unapojibu posting ya mwenzako kwa namna ya ku distort meaning?
Mwisho sina haja ya kukujua,ila utapimwa na unachobandika hapa.
 
Back
Top Bottom