Blood group O hawapati HIV

Duh! thesis yako imekaa tenge kweli - kwamba ukimwi unaanzia kwa mtu na kuishia kwake mwenyewe halafu unaongelea kuambukiza. Hii kiboko!!!!!!!!!
Nina wasiwasi hujaelewa nilichoandika au la mimi ndo sijakuelewa. uliza swali ikiwa unalo
 
Mkuu Kituko heshima.

Mkuu hii maneno nimewahi kusikia kuna Mama jirani yangu Bwana wake ni muathirika lakini yeye yuko safi kabisa amezunguka hospital kibao kakutwa mzima wa afya.Mwaka jana alikutana na wataalam KCMC wakamweleza group ya damu yake yaweza kuwa ndiyo sababu ya kutokupata maambukizi ingawa sikumuuliza group yake kama ni O+VE.

JF kuna wataalamu kibao hasa Dr Riwa tafadhali tumwagie darsa.



O+VE, ndio wanasemekana wana uwezo wa kupambana na Maradhi mengi?
 
Kitu kinachosababisha mtu kushambuliwa na kirusi cha ukimwi ni binding factor ambayo inakua kwenye seli nyeupe ya damu. group o, sawa na wengine wote wanakua na hii binding factor (ziko tofauti kwa ajili ya vitu tofauti tofauti).

Kuna watu wana genetic problems, ambao unakuta hawana hii factor,hao ndo wanakua hawapati hiv kwa sababu kirusi kinahitaji kujibind kwenye cell ili kiweze kuishi na kuzaliana.

Kuna watu wachache sana wa aina hii,japo hatari ya ku-encourage hiyo gene inaweza kuwa na madhara mengineyo (hii inaweza kua muhimu kwa ajili say ya matibabu.utafiti bado unaendelea). hiyo issue ya carier ni factor ya afya ya mtu coz in the end hata carrier anaathirika
 
Ulikuwepo nilipokuwepo mimi jana nini??
Vijana wa mtaani sifuri kabisa. Vijana wameuza cement ya site ya baba yao, wanapiga biya mchana kweupe, wanadanganyana blood group 0 hawapati hiv, na kuna mmoja anajisifu kabisa kwamba yeye nyama nyama tu na hajawahi hata kupata gono.
Thats why nimeuliza cuz niliposikia sikusadiki. Ngoja dokta akuje atupe majibu kamili.
 
HIV anapata mtu yeyote na wa group lolote,sema baadhi ya ma group ndo yanakuwa na resistance kubwa kukubaliana na hali halisi lakini mwisho wa siku virus wanakuwepo tu.
 
HIV anapata mtu yeyote na wa group lolote,sema baadhi ya ma group ndo yanakuwa na resistance kubwa kukubaliana na hali halisi lakini mwisho wa siku virus wanakuwepo tu.

[SIZE=+1]"If there is evidence that HIV causes AIDS, there should be scientific documents which either singly or collectively demonstrate that fact, at least with a high probability. There is no such document."[/SIZE] Dr. Kary Mullis, Biochemist, 1993 Nobel Prize for Chemistry.
[SIZE=+1]
"Up to today there is actually no single scientifically really convincing evidence for the existence of HIV. Not even once such a retrovirus has been isolated and purified by the methods of classical virology."[/SIZE]

Dr. Heinz Ludwig Sanger, Emeritus Professor of Molecular Biology and Virology, Max-Planck-Institutes for Biochemistry, Munchen.

http://www.virusmyth.com/aids/
maajabuyamaji2.artisteer.net
 
Kuna watu wengine ambao kwa genetic make up yao hukosa receptors specific to a particular type ofHIV on their cell membranes and in that way HIV cannot get into their cells and hence cannot get affected. However because of mutation of this HIV the chance of not getting infected with HIV NARROWS. Morover, in the that explains this fact group o are not mentioned in any case. KWA HIYO WOTE NI LAZIMA TUFUATE ABC: A ------bstain B------e faithfull C------Condom kwa sana.
 
[SIZE=+1]"If there is evidence that HIV causes AIDS, there should be scientific documents which either singly or collectively demonstrate that fact, at least with a high probability. There is no such document."[/SIZE] Dr. Kary Mullis, Biochemist, 1993 Nobel Prize for Chemistry.
[SIZE=+1]
"Up to today there is actually no single scientifically really convincing evidence for the existence of HIV. Not even once such a retrovirus has been isolated and purified by the methods of classical virology."[/SIZE]

Dr. Heinz Ludwig Sanger, Emeritus Professor of Molecular Biology and Virology, Max-Planck-Institutes for Biochemistry, Munchen.

HIV & AIDS - VirusMyth HomePage
maajabuyamaji2.artisteer.net


Wewe nawe na hayo Maajabu yako ya maji tumekuchoka sasa! Haya hebu fanya basi maajabu yako ili tutumie hayo maji yako mpaka kwenye magari basi utusaidie, maana kila kitu wewe solution ni mimaji tuu, mwisho utasema hata katiba mpya itengewe kifungu cha maji....maji...maji...maji..kila siku maji tu. Tumekunywa mpaka matumbo yametuvimba hapa...............
 
Duh! thesis yako imekaa tenge kweli - kwamba ukimwi unaanzia kwa mtu na kuishia kwake mwenyewe halafu unaongelea kuambukiza. Hii kiboko!!!!!!!!!

Bora na wewe umeona, yani huyo jamaa na mambo yake ya maji yamemfanya mpaka na yeye awe maji sasa!
 
UPUNGUFU WA KINGA MWILINI (UKIMWI), ni ugonjwa (upungufu wa maji mwilini) ambao kila mtu anaweza kuupata, yaani ukiuguwa mafua kwa mfano ni kusema kinga yako ilipunguwa kiasi cha virusi vya mafua vimeweza kuitikisa kinga yako!, la sivyo usingeuguwa mafua kwa kuwa kinga unayo na haikupunguwa.

Kupunguwa na kupanda kwa kinga ya mwili ni jambo linalotokea mwilini karibu kila siku kutegemea na mambo mengi kama vile chakula, fiziolojia na kemia ya mwili. Kinga ya mwili si kitu kinachotengenezwa siku moja!, la hasha, kinga ya mwili inapaswa kuanza kutengenezwa tangu binadamu akiwa tumboni mwa mama na mtoto akishazaliwa anapaswa kuanza kutengenezewa kinga yake na aelekezwe namna ya kufanya hivyo atakapokuwa mkubwa.

Hakuna kitu kinaitwa kirusi au hiv ambacho husababisha UKIMWI au AIDS!, UKIMWI au AIDS ni ugonjwa unaoanzia ndani ya mtu mwenyewe na huishia kwa mtu mwenyewe huyo huyo, yaani UKIMWI si ugonjwa wa kuambikizana, mtu mmoja hawezi kumpa UKIMWI mtu mwingine!.

kwa hiyo haijalishi upo group gani la damu, UKIMWI utaupata tu.
watercure2.org
watercure.com
healsa.co.za
harmonikireland.com

virusmyth.com/aids/
maajabuyamaji2.artisteer.net
Nakubaliana na wewe kwamba UKIMWI/AIDS hauambukizi. Naamini hujakusudia kusema VVU/HIV pia haiambukizi.....kwa sababu kisayansi tunajua virusi vyaweza toka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
 
Wewe nawe na hayo Maajabu yako ya maji tumekuchoka sasa! Haya hebu fanya basi maajabu yako ili tutumie hayo maji yako mpaka kwenye magari basi utusaidie, maana kila kitu wewe solution ni mimaji tuu, mwisho utasema hata katiba mpya itengewe kifungu cha maji....maji...maji...maji..kila siku maji tu. Tumekunywa mpaka matumbo yametuvimba hapa...............

Mkuu, nadhani unatambuwa kuwa MAJI NI UHAI, ikiwa unaamini MAJI NI UHAI, maana yake ni nini?.

Leo hii nikikuuliza kati ya jua na dunia kipi kinamzunguka mwezake?, mara moja utajibu ni dunia ndiyo inayolizunguka jua. Unaweza kujibu hivyo leo hii kwa sababu ndivyo ulivyofundishwa darasani miaka hii.

Mpaka karne ya kumi na tano (katika miaka ya 1500), watu wote waliamini kuwa ni jua ndilo linaloizunguka dunia, mpaka alipokuja mwanasayansi Galileo galilei katika karne ya 16 yaani miaka kama 1600 baadaye akathibitisha kuwa ni DUNIA ndiyo hulizunguka JUA na si kinyume chake, ALIPINGWA VIKALI MWANZONI, Lakini ndiyo sababu ya wewe leo kumfundisha mwingine kuwa dunia ndiyo inalizunguka jua.

Mabadiliko ya mambo kwa staili hii huitwa PARADIGM SHIFT, yaani unapata ukweli wa jambo tofauti kabisa na namna jambo lilivyowasilishwa mara ya kwanza. Kwa kawaida mabadiliko ya namna hii huchukuwa muda kutokea lakini mwisho lazima yatatokea. Wanasema ukweli daima utashinda.

Dr.Batmanghelidj (WaterCure | About Dr. B), hatimaye aligunduwa kuwa: ‘Mwili wa binadamu unapopungukiwa maji hutoa ishara (indicators), tumeziita ishara hizo kuwa ni magonjwa, hauumwi, una kiu, usiitibu kiu kwa madawa – dr. Batmanghelidj'.

"There is a principle which is a bar against all information, which is proof against all argument, and which cannot fail to keep man in everlasting ignorance. That principle is condemnation without investigation." - *Herbert Spencer*.


Naamini mtu anaweza akapungukiwa kinga ya mwili kwa sababu nyingi za kimaisha, lakini siamini kuwa kuna kitu kinaitwa HIV au Kirusi cha ukimwi husababisha ukimwi na kuwa eti ukimwi hautibiki.

Ukimwi hauletwi na kirusi cha ukimwi wala ukimwi si ugonjwa wa kuambukizana. kinga ya mwili inaweza kurudishwa mwilini kirahisi kabisa bila dawa yeyote.

kunywa maji kabla ya kiu, maji ni zaidi ya dawa kwa kila ugonjwa, na hata unapokunywa dawa unatumia maji kumeza.
maajabuyamaji2.artisteer.net
 
hapa naona nipo comfused.........

you don't need to be confused, just find out what is the truth, Do not let either the medical authorities or the politicians mislead you. Find out what the facts are, and make your own decisions about how to live a happy life and how to work for a better world.
Linus Pauling, two time Nobel laureate (Chemistry and Peace).

maajabuyamaji2.artisteer.net
 
Nakubaliana na wewe kwamba UKIMWI/AIDS hauambukizi. Naamini hujakusudia kusema VVU/HIV pia haiambukizi.....kwa sababu kisayansi tunajua virusi vyaweza toka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

sayansi kwa ajili ya interests za viwanda vya madawa ndiyo hufundisha hivyo, bali sayansi isiyowaza hela katika kumtibu binadamu haiamini hivyo. "Nearly all men die of their medicines, not of their diseases." -*Moliere, (1622-1672)*.

maajabuyamaji2.artisteer.net
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom