Blood deal


Hatimae David kauliwa na Poul (Mototo wa kaka yake)...

Ila nahisi Poul hatoishi kwa raha, misukosuko lazima itamuandama... Kuua siyo jambo dogo...

Cc: mahondaw
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeshusha pumzi puuuuuuh!!! Baada ya kumaliza kusoma
 
Asante sana Madame. Hadithi nzuri, David kapata alichostahili
 
Duh imebidi niangalie km nimefunga vizuri mlango wangu,maana nimeingiwa na hofu huyu Poul asije akaingia na huku maana kukatana kiungo kimoja kimoja,vidole,masikio,pua mh inahitaji moyo dah ila kwa David bado adhabu ilikuwa haitoshi aisee maana unyama alioufanya ulikuwa wa kiwango cha Standard Gauge hivyo alistahilli kwanza kipigo cha mbwa koko.
Madame shukrani sana nimepata funzo inabidi tuwe makini sana na hawa madogo maana.
 
Hahahahaha asante kwa kushukuru bachelor sugu
 
Inapendeza sana...


Cc: mahondaw
 
Story inanikumbusha kwetu rock city, naona raha kuisoma, nikiisoma hiyo mitaa najiona niko home kabisa
 
Thank you kwa hadithi nzuri ambayo imenirudisha home kabisa, home sweet home.....Mwanza.
Dave umevuna ulichopanda.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…