Blogs nyingine ni kero, zimejaa matangazo na habari hazieleweki

kabiriga

JF-Expert Member
Nov 18, 2012
1,108
1,170
Katika account zangu za mitandao ya kijamii hasa Facebook,sijui niite (sura ya kitabu) kuna vichwa vya habari vingi vinavyo nitaka kufatilia habari flani kwenye blog zao.

Lakini cha kushangaza ukibonyeza kwenye hizo link unakutana na eidha kichwa cha Habari hakiendani na habari yenyewe au utaelekezwa kusoma habari zaidi uendelee kubonyeza link nyingine au habari iliyoandikwa haieleweki maana haina kichwa wala miguu nyingine unakutana na muingiliano wa kurasa nyingi zinazofunika ukurasa mkuu ambazo zinakuwa Kero kwa msomaji,hapa ndipo ninapo jiuliza hawa wanao miliki blog hizi kama wanajua walifanyalo au ni kufata mkumbo na kujihesabu sehemu ya bloggers?

Kitu kingine kinachonikela ni mpangilio wa vichwa na flame za kurasa kwenye hizo blog ni za Hali ya chini na hakuna usanifu unaofanyika ni ilimradi liende tu .Ni vema mablogger kujua kuandika habari na kuwa na blog ni fani si kila mtu anaweza kufanya hivyo ingawa si makosa ki kisheria au kimaadili kuwa na blog.Nawashahuri wajifunze kwa wenzao ambao blog zao ni nzuri kwa maana ya habari na usanifu kwenye blog zenyewe.
 
Katika account zangu za mitandao ya kijamii hasa Facebook,sijui niite (sura ya kitabu) kuna vichwa vya habari vingi vinavyo nitaka kufatilia habari flani kwenye blog zao.

Lakini cha kushangaza ukibonyeza kwenye hizo link unakutana na eidha kichwa cha Habari hakiendani na habari yenyewe au utaelekezwa kusoma habari zaidi uendelee kubonyeza link nyingine au habari iliyoandikwa haieleweki maana haina kichwa wala miguu nyingine unakutana na muingiliano wa kurasa nyingi zinazofunika ukurasa mkuu ambazo zinakuwa Kero kwa msomaji,hapa ndipo ninapo jiuliza hawa wanao miliki blog hizi kama wanajua walifanyalo au ni kufata mkumbo na kujihesabu sehemu ya bloggers?

Kitu kingine kinachonikela ni mpangilio wa vichwa na flame za kurasa kwenye hizo blog ni za Hali ya chini na hakuna usanifu unaofanyika ni ilimradi liende tu .Ni vema mablogger kujua kuandika habari na kuwa na blog ni fani si kila mtu anaweza kufanya hivyo ingawa si makosa ki kisheria au kimaadili kuwa na blog.Nawashahuri wajifunze kwa wenzao ambao blog zao ni nzuri kwa maana ya habari na usanifu kwenye blog zenyewe.
UNGETOA MFANO WA BLOG MOJAWAPO, PIA HAYO MATANGAZO NDIO YANAYOWAFANYA WAISHI, UKI CLICK TU, BASI UMEWASAIDIA, HATA JF MBONA WANAMATANGAZO HAYO, HIVYO TUSAIDIANE MKUU ENDELEA KUSOMA HIZO BLOGS NA CLICK HAYO MATANGAZO UYAONAYO...
 
Wamiliki wengi wa mitandao (tovuti) wanatumia huduma ya Ad Net (online advertisement) ambazo zinakuwa zinaweka matangazo kwenye tovuti husika, na wewe ukiingia click hilo tangazo moja kwa moja page view inakuwa imeshasoma na unakuwa umeshamchangia mmiliki wa tovuti husika.. hata JF na tovuti nyingi zinajiendesha kwa njia kama hizo .. wanauziwa na kuuza matangazo ili ziweze kujiendesha...
 
Le mutuz anaiba link za wenzake ukiona habari ni kipande chini imeandikwa bonyezahapa kupata habari kamili ukiclick anakupeleka kwingine na unaweza usiweze kuisoma kuna litangazo la tigo linaziba habari yote
 
michuzi blog inabore sana;Matangazo mengi kweli unascrow mpaka uifikie habari ni dakika nzima inaisha
 
Kazi ya kusoma blogs unayo.,..Mimi ni chuoni tu hapa JF, umbeablogs tofauti kabisa na mimi maana zote ziko sawa kwa kuigana na hawana vitu vya maana.
 
Katika account zangu za mitandao ya kijamii hasa Facebook,sijui niite (sura ya kitabu) kuna vichwa vya habari vingi vinavyo nitaka kufatilia habari flani kwenye blog zao.

Lakini cha kushangaza ukibonyeza kwenye hizo link unakutana na eidha kichwa cha Habari hakiendani na habari yenyewe au utaelekezwa kusoma habari zaidi uendelee kubonyeza link nyingine au habari iliyoandikwa haieleweki maana haina kichwa wala miguu nyingine unakutana na muingiliano wa kurasa nyingi zinazofunika ukurasa mkuu ambazo zinakuwa Kero kwa msomaji,hapa ndipo ninapo jiuliza hawa wanao miliki blog hizi kama wanajua walifanyalo au ni kufata mkumbo na kujihesabu sehemu ya bloggers?

Kitu kingine kinachonikela ni mpangilio wa vichwa na flame za kurasa kwenye hizo blog ni za Hali ya chini na hakuna usanifu unaofanyika ni ilimradi liende tu .Ni vema mablogger kujua kuandika habari na kuwa na blog ni fani si kila mtu anaweza kufanya hivyo ingawa si makosa ki kisheria au kimaadili kuwa na blog.Nawashahuri wajifunze kwa wenzao ambao blog zao ni nzuri kwa maana ya habari na usanifu kwenye blog zenyewe.
Unapenda habari za udaku mara madenti chuo kikuu waliwa uroda mara mchungaji atembea na kondoo wake mara picha 15 za utupu za irene uwoya mara bonyeza link kujionea wema akigegedwa pole sana wenzako wanafungua linki za maana wewe unataka za udaku utaishia kulalamika nyie ndo mnafanya net inakuwa slow kumbe mnaangalia ma uchafu online
 
Back
Top Bottom