Mkuu net configuration inapokea(ila hata manually), ila mchina kwenye internet sio sim,kama unaichukua kwa mawasiliano tu poa ila kwa net na entertainment ya aina yeyote apart from music sahau! Kwanza huwezi kudownload game likafunguka(haipokei jar. nor jad. inshort no games apart from soduku and the other internal stupid games). Camera yake imeandikwa ina megapixel ni kama 4 au 3 kama cjasahau,ila picha inazopiga ni rubbish,videos kiduchu sana ina ubora ukilinganisha na picha. Programming yake it's so boaring,yaani utaitumia cku mbili utaiona choo,ukikaa nayo mwezi hujaiuza we balaa! Bora ninue nokia ndogo kabisa yenye internet capabillity kuliko blackberry au I-phone ya mchina. Puuu mpaka nimetema mate jinci ninavyoichukia hiyo cm.lol
sijainunua bado
Mkuu net configuration inapokea ila blackberry mchina kwenye internet sio sim,kama unaichukua kwa mawasiliano tu poa ila kwa net na entertainment ya aina yeyote apart from music sahau! Kwanza huwezi kudownload game likafunguka(haipokei jar. nor jad. inshort no games apart from soduku and the other internal stupid games). Camera yake imeandikwa ina megapixel ni kama 4 au 3 kama cjasahau,ila picha inazopiga ni rubbish,videos kiduchu sana ina ubora ukilinganisha na picha. Programming yake it's so boaring,yaani utaitumia cku mbili utaiona choo,ukikaa nayo mwezi hujaiuza we balaa! Bora ninue nokia ndogo kabisa yenye internet capabillity kuliko blackberry au I-phone ya mchina. Puuu mpaka nimetema mate jinci ninavyoichukia hiyo cm.lol
Didnt see you posting 4 ages.. good 2 see u again..
kama ina java basi itakubali magemu ya jad.
achana na cm za mchina endelea kuzichanga ununue cm poa,km vp nicheki nina iphone 2g,16 gb unlocked iko saafi pm nikuuzie bei ya kutupa maana siitumiisijainunua bado
Muziki gani kaka unaouongelea? Ule wa makelele yaliyopitiliza?
Teh yeah,to you and me it mayb noise ila kwa wale wazee wa 'doho tabu' hapo ndo umemfikisha.