BlackBerry is in the house



Niambieni namna ya kujua umuhimu wake mie nasoma posts zake humu humu
 
Niambieni namna ya kujua umuhimu wake mie nasoma posts zake humu humu

M pm invisible yaani ingia private msg mtumie unataka kuin gia jukwaa la wakubwa huko utaona utamu wake ila sio lazima kama hupendi kuona mapicha ya x.
 
Ahsante mkuu naona wewe mkongwe, unafanyaje mpaka unakuwa premium member mbona nikiangalia wengine wako mda mrefu ila sio premium wengine sio wa muda mrefu ila ni premium.

Hahaa haahaa BB wewew ni mdadisi sana, unajua Jamii Forums ni Forum ambayo inahitaji pesa ili iweze kuendeshwa ndio maana hata mimi najipiga piga kila wakati ili niweze kuchangia nilichonacho, maana elimu na maarifa ninayoyapata humu ni zaidi ya elimu ya Chuo kikuu.. sio mbaya kama na wewe utataka kuwa Premium Member unaweza ukawa unachangia kwa kadri unavyoweza
Ni bora kuichangia Jamii forums kuliko kuchangia Shule za kata.
Na kilichonifanya nianze kuchangia ni thread hizi,

CHANGIA JF: Mkono mtupu haulambwi

Tumeelemewa: JF kufungwa!
 

Ama kweli nimeamini swali anaweza uliza mwingine likafaidisha watu wengi, nimeona na mimi nilikuwa sijui nimejua humuhumu. thanx
 
Karibu bi dada wewe ingia mpaka sebuleni
 

Natamani aisee sio haki kuganda Jf tangu asubuhi mpaka usiku wa manane bure tu
 
niPM mnamaanisha nini

naweza kuwasiliana humuhumu na mtu bila wengine kujua? looo kumbe naweza wapm watu naowazimia humu hata kama hawataki? au unauliza kwanza

. ni cha nini na kina faida gani? mbona sehemu zingine nimekuta kinyota tu.

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…