Blackberry ebay: ushauri wenu wakuu

Paul S.S

JF-Expert Member
Aug 27, 2009
6,402
3,242
Wadau kuna ndugu yangu yuko USA nataka nimtumie pesa aninunulie simu kisha aje nayo mwezi ujao
Sio mtaalamu sana wa mambo ya ebay na hizi simu hivyo naomba mcheck hii simu RIM BLACKBERRY STORM 9530 PHONE UNLOCKED VERIZON / AT&T
Ni used na sijawahi kuwa na simu kama hii naona kama bei yake ipo chini kidogo USD 90, au ni risk sana kununua simu hizi?

LINK HII HAPA
RIM BLACKBERRY STORM 9530 PHONE UNLOCKED VERIZON / AT&T | eBay
 
Paulss,
Blackberry ni mojawapo ya brand name kubwa katika technolojia tuliyopo sasa.Binafsi nimewahi kutumia simu aina hiyo katika version zote 2G na 3G ni simu imara kwakweli,kuhusu bei kuwa rahisi ni kwa kwasbabu simu hizo ni model za miaka kama 2-3 iliyopita na ni used so tarajia hilo,la msingi kwanza wasiliana na ndugu yako muone mtafanyaje juu ya hilo.
 
Paulss,
Blackberry ni mojawapo ya brand name kubwa katika technolojia tuliyopo sasa.Binafsi nimewahi kutumia simu aina hiyo katika version zote 2G na 3G ni simu imara kwakweli,kuhusu bei kuwa rahisi ni kwa kwasbabu simu hizo ni model za miaka kama 2-3 iliyopita na ni used so tarajia hilo,la msingi kwanza wasiliana na ndugu yako muone mtafanyaje juu ya hilo.
Mkuu thanx kwa maoni, issue ni kuwa nimtumie kwa westen union kisha yeye atalipia kwa paypal yake huko huko kisha atakuja nayo bongo next month
 
Mkuu ni hivi unaweza ukapata deal nzuri tu kwa kutumia auction format kuliko hio ya BIN, kama unajua nini unataka na una uzoefu wa kuitumia ebay advance search jaribu ku set-search auction kwa private seller.
Jengine kwa hizi simu za touch screen BB wamefeli kidogo kwa sababu hazina umadhubuti, nahisi bora kama unahitaji BB basi nakushauri Bold 9700, ila nazo wakati mwengine zina tatizo la trackpad, majembe hasa ni bold 9800 ama Torch 9800 kama uwezo unaruhusu.
Unaweza kumtumia hela huyo nduguyo kwa kutumia paypal, ni free ukituma hela kama gift. Kama huna basi fungua pay-pal account, hautoweza kupokea hela(Tanzania) ila kutuma unaweza, ni rahisi na haraka zaidi.
Kweli is Ebay mobile phones seller with 100% feedback.
 
Mkuu ni hivi unaweza ukapata deal nzuri tu kwa kutumia auction format kuliko hio ya BIN, kama unajua nini unataka na una uzoefu wa kuitumia ebay advance search jaribu ku set-search auction kwa private seller.
Jengine kwa hizi simu za touch screen BB wamefeli kidogo kwa sababu hazina umadhubuti, nahisi bora kama unahitaji BB basi nakushauri Bold 9700, ila nazo wakati mwengine zina tatizo la trackpad, majembe hasa ni bold 9800 ama Torch 9800 kama uwezo unaruhusu.
Unaweza kumtumia hela huyo nduguyo kwa kutumia paypal, ni free ukituma hela kama gift. Kama huna basi fungua pay-pal account, hautoweza kupokea hela(Tanzania) ila kutuma unaweza, ni rahisi na haraka zaidi.
Kweli is Ebay mobile phones seller with 100% feedback.
Mkuu nimekupa uzuri kabisa, ngoja nicheck na hii bold 9700 kidogo bei zake angalau naweza kujitutumua ila napenda sana touch screen.nimeona pia namna ya ku bid, let me try
By the way mkuu hiyo sentensi ya mwisho unamaanisha unadeal na vitu kama hizi
 
Verizon/at&t bb phones hazikubali Blackbery internet service outside america...ukinunua hutaifaidi
 
Mkuu ni hivi unaweza ukapata deal nzuri tu kwa kutumia auction format kuliko hio ya BIN, kama unajua nini unataka na una uzoefu wa kuitumia ebay advance search jaribu ku set-search auction kwa private seller. <br />
Jengine kwa hizi simu za touch screen BB wamefeli kidogo kwa sababu hazina umadhubuti, nahisi bora kama unahitaji BB basi nakushauri Bold 9700, ila nazo wakati mwengine zina tatizo la trackpad, majembe hasa ni bold 9800 ama Torch 9800 kama uwezo unaruhusu.<br />
Unaweza kumtumia hela huyo nduguyo kwa kutumia paypal, ni free ukituma hela kama gift. Kama huna basi fungua pay-pal account, hautoweza kupokea hela(Tanzania) ila kutuma unaweza, ni rahisi na haraka zaidi.<br />
Kweli is Ebay mobile phones seller with 100% feedback.
<br />
<br />
mkuu kwa bongo bank gani ni nzuri kuunga na paypal?
 
Mbona mimi nilinunuliwa kwa mtindo huo Newegg.com - Computer Parts, Laptops, Electronics, HDTVs, Digital Cameras and More! na inafanya kazi vizuri tu hapa bongo? Provided imeandikwa unlocked. Pia siitaji BB bundle bali najiunga tu kama simu nyingine?

Sor mkuu mimi pia ninayo bb 9530 lakini kuweka salio ni kama lazima nipige 102 badala ya ile short cut ya *102#...... je inawezekana kuna sehemu inahitaji setting au huwa haikubali siku zote?

nitashukuru kama ntapata maelezo kwenye hili suala!
 
Mbona mimi nilinunuliwa kwa mtindo huo <a href="http://www.newegg.com" target="_blank">Newegg.com - Computer Parts, Laptops, Electronics, HDTVs, Digital Cameras and More!</a> na inafanya kazi vizuri tu hapa bongo? Provided imeandikwa unlocked. Pia siitaji BB bundle bali najiunga tu kama simu nyingine?
<br />
<br />


Bundle ya kawaida inakubali kwa simu yeyote ya bb...bt ukitaka tumia Blackbery Internet service(BIS)..whch is unlimited....bb za verizon & at&t hazikubali outside america.
If want to enjoy bb tumia BIS, bundle ya kawaida utatumia only browsers....other BB apps hazitafanya kazi
 
<br />
<br />


Bundle ya kawaida inakubali kwa simu yeyote ya bb...bt ukitaka tumia Blackbery Internet service(BIS)..whch is unlimited....bb za verizon & at&t hazikubali outside america.
If want to enjoy bb tumia BIS, bundle ya kawaida utatumia only browsers....other BB apps hazitafanya kazi
Mkuu unashauri ipi ndio inafaa, i mean iliondikwa je? wengine sio wajuzi wa hii maneno na ninaipenda sana
 
Sor mkuu mimi pia ninayo bb 9530 lakini kuweka salio ni kama lazima nipige 102 badala ya ile short cut ya *102#...... je inawezekana kuna sehemu inahitaji setting au huwa haikubali siku zote?

nitashukuru kama ntapata maelezo kwenye hili suala!

Kwa kweli hizi zina manjonjo mengi sana ila nakushauri google hilo tatizo kwani nami niliaangaika sana juu ya kutoweza tumia address book kupiga simu. Ilikuwa ina weka +1 na hivyo kutotambuliwa nikaangaika jhadi SAPNA wakashindwa siku niliyo google ikafuata steps tatizo likaisha
 
Kwa kweli hizi zina manjonjo mengi sana ila nakushauri google hilo tatizo kwani nami niliaangaika sana juu ya kutoweza tumia address book kupiga simu. Ilikuwa ina weka +1 na hivyo kutotambuliwa nikaangaika jhadi SAPNA wakashindwa siku niliyo google ikafuata steps tatizo likaisha

hah hah hah! Mbona lilikuwa tatizo dogo sana hilo? ni just kuweka "none" kwenye setting badala ya ukuanza na US code.wale wahindi wa SAPNA nao walichemsha?
 
Sor mkuu mimi pia ninayo bb 9530 lakini kuweka salio ni kama lazima nipige 102 badala ya ile short cut ya *102#...... je inawezekana kuna sehemu inahitaji setting au huwa haikubali siku zote?

nitashukuru kama ntapata maelezo kwenye hili suala!
Kuweka salio ni *104* na siyo *102# ...... Ili tatizo liko kwa baadhi ya BB mimi nina BB 8830WE mara nyingine ina kubali kuweka kwa number na mara nyingine inagoma inabidi nitumie njia ya voice ....
 
<font color="#4b0082"><span style="font-family: century gothic">Mkuu unashauri ipi ndio inafaa, i mean iliondikwa je? wengine sio wajuzi wa hii maneno na ninaipenda sana</span></font>
<br />
<br />

nunua any unlocked bb gsm900/1800 bt not from verizon and at&t.
 
Back
Top Bottom