Black skin inrelation to iq

Penelope

JF-Expert Member
Aug 23, 2012
713
641
Eti jamani hivi watu wenye ngozi nyeusi(esp sisi waafrika) tuna IQ (Inteligence quotient)(kipimo cha akili ama werevu kwa binadamu)sawa na wenzetu??..Unajua hua najiuliza wenzetu wana kitu gani cha ziada ambacho kinawafanya wagundue vitu vingi tangu miaka hiyo ya zamani na kuviendeleza kila siku na kuvifanya viwe bora zaid kila miaka inapoenda,,sisi tu tunatumia,kuna sababu?zipi?mawazo yenu tafadhali
 
Back
Top Bottom