cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,130
Nakazia hapa.Upati wachangiaji kwa sababu ya lugha
Nakazia hapa.Upati wachangiaji kwa sababu ya lugha
Mtu mweusi anayezungumza Kingereza anamshangaa mtu mweusi aliyekumbatia dini.
MAAJABU HAYAJAWAHI KUISHA.
Watu waende kwa Ras Simba awapige msasa kidogo.Nakazia hapa.
Wee em sema kweli? LolWatu waende kwa Ras Simba awapige msasa kidogo.
Huwezi kuepuka lugha ya malkia karne hii ya 21.
Ndio maana wakenya na waganda wamesambaa kila pembe ya dunia kwa sababu ya lugha.Wee em sema kweli? Lol
Ni dini piaWaafrika hawakuwa na dini kabla ya ukoloni bali walikuwa na tamaduni na mila
Now the wheel have turned. in America if you are religious you cant leave peace, because of the "WOKE" people and people of the rainbow, which by the way was introduce by the people who don't follow religion because you cant be religious person if you allow abortion, gender transition, homosexuality. And now days people who dont follow those are the one who sufferThey are hypocrites because they forced Africans to leave their traditional beliefs and used intimidation and threats to make Africans accept their religions, but today they don't want Africans to leave their religions.
Nakubaliii.Ndio maana wakenya na waganda wamesambaa kila pembe ya dunia kwa sababu ya lugha.
School dropouts wa Kenya au Uganda wamejazana sana mambele kwa sababu ya lugha.
Ukifika UAE, Qatar na maeneo mengine mengi, wafanyakazi wengi kutoka East Africa ni wakenya na waganda.
Graduates wa Tanzania tu, lugha ya malkia inawapiga chenga.
Nyerere alizingua sana kufanya kiswahili kuwa lugha ya taifa. Imelemaza watanzania wengi.
Watanzania wengi wanakosa fursa, maarifa na taarifa nyingi sana, kisa hawajui lugha ya malkia (kimombo).
Na taarifa nyingi zipo kwenye lugha ya kingereza.
Mbona kama watu wanalazimishwa , kama mtu hajui kwani ni kosa ...Duniani ni mtihani kila mtu anavutia kwake , mwisho wa siku tukakufa .Ndio maana wakenya na waganda wamesambaa kila pembe ya dunia kwa sababu ya lugha.
School dropouts wa Kenya au Uganda wamejazana sana mambele kwa sababu ya lugha.
Ukifika UAE, Qatar na maeneo mengine mengi, wafanyakazi wengi kutoka East Africa ni wakenya na waganda.
Graduates wa Tanzania tu, lugha ya malkia inawapiga chenga.
Nyerere alizingua sana kufanya kiswahili kuwa lugha ya taifa. Imelemaza watanzania wengi.
Watanzania wengi wanakosa fursa, maarifa na taarifa nyingi sana, kisa hawajui lugha ya malkia (kimombo).
Na taarifa nyingi zipo kwenye lugha ya kingereza.
Mzee usipojua lugha ya malkia utakaa tu hapo bongo uwe chawa wa ccm, miaka yako yote.Mbona kama watu wanalazimishwa , kama mtu hajui kwani ni kosa ...Duniani ni mtihani kila mtu anavutia kwake , mwisho wa siku tukakufa .
Kingereza ni ustaarabu wa wazungu basi ni dini pia ni yale yale .
Mawazo yako wala sijawahi kufikria kwenda nje , watu wote hatuwezi kuwa sawa ...Nipo duniani huru sio mfungwa .Mzee usipojua lugha ya malkia utakaa tu hapo bongo uwe chawa wa ccm, miaka yako yote.
Even Christianity and Islamic are the traditional beliefs of Europians and Arabs.Africans had their traditional beliefs.
Sawasawa mkuu.Mawazo yako wala sijawahi kufikria kwenda nje , watu wote hatuwezi kuwa sawa ...Nipo duniani huru sio mfungwa .
Utamaduni Kama ilivyo dini Mana huwezi kuwa Mrumi bila kuongea Kama Mrumi kuvaa Kama Mrumi yaani ni Yale Yale tu.Mbona kama watu wanalazimishwa , kama mtu hajui kwani ni kosa ...Duniani ni mtihani kila mtu anavutia kwake , mwisho wa siku tukakufa .
Kingereza ni ustaarabu wa wazungu basi ni dini pia ni yale yale .
Hamna kipya binadamu ni wale wale ..Tufikiria binadamu mwenye freewill , kama unaona ni sawa basi hii mada yako ya dini ni utapeli kama kulazimishwa lugha .Sawasawa mkuu.
Huo pia ni uhuru wako.
Lakini kwa wale ambao hawataki ku settle for the less lugha ya malkia muhimu.
😀 😀Utamaduni Kama ilivyo dini Mana huwezi kuwa Mrumi bila kuongea Kama Mrumi kuvaa Kama Mrumi yaani ni Yale Yale tu.
Kuna aliye au anaye kulazimisha kujua lugha ya kiingereza?Hamna kipya binadamu ni wale wale ..Tufikiria binadamu mwenye freewill , kama unaona ni sawa basi hii mada yako ya dini ni utapeli kama kulazimishwa lugha .
Umeandika kingereza hapo , mbona unaleta utumwa na dini yako huku unapondea nyingine?Kuna aliye au anaye kulazimisha kujua lugha ya kiingereza?
Kama hakuna aliyekulazimisha. Pia acha ambao wanataka kuijua wajifunze.
Yeah and Africans should understand this.Even Christianity and Islamic are the traditional beliefs of Europians and Arabs.
Kingereza sio utumwa ni lugha ya mawasiliano kama ilivyo kiswahili, kifaransa, kijerumani au kichina.Umeandika kingereza hapo , mbona unaleta utumwa na dini yako huku unapondea nyingine?