johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,026
Kwa sasa kipaumbele cha Mahakama duniani kote ni kujitahidi kumaliza kesi kwa njia ya Usuluhishi badala ya Kuhukumu.
Akiwa Mkurugenzi wa Mashtaka Mh. Biswalo alionyesha uwezo mkubwa katika eneo Hili la ushawishi na nadhani ndio sababu alipandishwa cheo na kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
Wakati Jaji Mkuu Prof. Juma akielekea kustaafu Biswalo ni miongoni mwa Vijana wanaoweza kuvaa viatu vyake
Mungu wa mbinguni akubariki!
Akiwa Mkurugenzi wa Mashtaka Mh. Biswalo alionyesha uwezo mkubwa katika eneo Hili la ushawishi na nadhani ndio sababu alipandishwa cheo na kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
Wakati Jaji Mkuu Prof. Juma akielekea kustaafu Biswalo ni miongoni mwa Vijana wanaoweza kuvaa viatu vyake
Mungu wa mbinguni akubariki!