PostGE2025 Bishop Gwajima ni CCM alikuwa mbele ya muda

PostGE2025 Bishop Gwajima ni CCM alikuwa mbele ya muda

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,913
Reaction score
133,926


Huyu ni mmojawapo kati ya watu waliolishauri taifa kabla ya maafa kutokea. kulikuwa na namna zote za kusuluhisha jambo linalokabili taifa letu kwa sasa

Hatukuwa na haja ya kufika hapa tulipo, kwa jambo ambalo tungeweza kusikilizana na kupokea mashauri yaliyokuwa yakitolewa na wazalendo wenzetu.

Tumefika hapa tulipo kwa sababu ya sauti hizi zilipokataliwa kusikiwa na watawala. Kama CCM na Samia wangemsikiliza Gwajima na kushtushwa na maonyo ya Tundu Lissu tusingefika hapa
 
View attachment 3508604

Huyu ni mmojawapo kati ya watu waliolishauri taifa kabla ya maafa kutokea. kulikuwa na namna zote za kusuluhisha jambo linalokabili taifa letu kwa sasa

Hatukuwa na haja ya kufika hapa tulipo, kwa jambo ambalo tungeweza kusikilizana na kupokea mashauri yaliyokuwa yakitolewa na wazalendo wenzetu.

Tumefika hapa tulipo kwa sababu ya sauti hizi zilipokataliwa kusikiwa na watawala. Kama CCM na Samia wangemsikiliza Gwajima na kushtushwa na maonyo ya Tundu Lissu tusingefika hapa
Simia ni sikio la kufa na ana gundu.
 
Viongozi wa dini hutaki kuwa siskia
Wanachama wenzako hutaki kuwasikia
Wapinzani hutaki kuwasikia
Mashirika ya kibinadamu hutaki kuyasikia
Wananchi hutaki kuwasikia
Unamsikiliza kikwete Tu?

Na bado 😀
 
View attachment 3508604

Huyu ni mmojawapo kati ya watu waliolishauri taifa kabla ya maafa kutokea. kulikuwa na namna zote za kusuluhisha jambo linalokabili taifa letu kwa sasa

Hatukuwa na haja ya kufika hapa tulipo, kwa jambo ambalo tungeweza kusikilizana na kupokea mashauri yaliyokuwa yakitolewa na wazalendo wenzetu.

Tumefika hapa tulipo kwa sababu ya sauti hizi zilipokataliwa kusikiwa na watawala. Kama CCM na Samia wangemsikiliza Gwajima na kushtushwa na maonyo ya Tundu Lissu tusingefika hapa
Tatizo tunawadharau sana watumishi wa Mungu. Mambo magumu yanakuja kwa sababu CCM bado wanaviburi sana
 
Back
Top Bottom