Gwajima kajiaribia Sana. Angenyamaza na kumuachia Mungu angepungukiwa na nini? Sasa kuna raha gani kuishi kama digidigi. If you can't beat them join them. Pascal MayallaView attachment 3476866 Ilikuwa tatehe 15 August, na leo ni tarehe 21 Septemba, zaidi ya siku 35.
No capitulation—the war against demonic forces must be fought until it’s won!Gwajima kajiaribia Sana. Angenyamaza na kumuachia Mungu angepungukiwa na nini? Sasa kuna raha gani kuishi kama digidigi. If you can't beat them join them. Pascal Mayalla
Gwajima aliiweka Serikali gani madarakani? Acha kumtetea TAPELI aliyejificha kwenye kichaka cha BibliaNgozi nyeusi tuna shida sana. Serikali anaiweka madarakani yeye kupitia kura yake ila bado anaiona kama Mungu wake ndio wewe jamaa, umasikini kitu kibaya sana kinaharibu mpaka akili.
Kwanza atuonyeshe watu aliofufua ndiyo tuhamie mada yako. Kakutana na watu tu wana frustration wanampa sadaka kwa kisingizio cha kufufuliwa ndugu zao.Kuamini kwamba serikali haipaswi kuwajibishwa ni ukosefu wa akili,Gwajima yupo sahihi sana
Unazidi kujidhihirisha kuwa una tatizo mahali, kama comment yangu ya kawaida kabisa hivo umeshindwa kuielewa na umejibu kitu sijakuuliza, basi CCM itadumu sana kwakweliGwajima aliiweka Serikali gani madarakani? Acha kumtetea TAPELI aliyejificha kwenye kichaka cha Biblia
Nenda ukasali huko ambako mmetekwa akili, mnakwenda kama mazombie tuUnazidi kujidhihirisha kuwa una tatizo mahali, kama comment yangu ya kawaida kabisa hivo umeshindwa kuielewa na umejibu kitu sijakuuliza, basi CCM itadumu sana kwakweli
Kwani mada si ni wewe ndio umeanzisha?kwa nini hukuanzisha ya kufufua watu?Kwanza atuonyeshe watu aliofufua ndiyo tuhamie mada yako. Kakutana na watu tu wana frustration wanampa sadaka kwa kisingizio cha kufufuliwa ndugu zao.
Hivi kwa nini alishindwa kumfufua Magufuli aliyempa ubunge wa Kawe mwaka 2020
Naunga mkono hoja, hili neno!Gwajima kajiaribia Sana. Angenyamaza na kumuachia Mungu angepungukiwa na nini? Sasa kuna raha gani kuishi kama digidigi. If you can't beat them join them. Pascal Mayalla
Wewe umemjua Leo hiyo Stuxnet ni mpuuzi Fulani na ana chuki ya wazi kuanzia JPMUnazidi kujidhihirisha kuwa una tatizo mahali, kama comment yangu ya kawaida kabisa hivo umeshindwa kuielewa na umejibu kitu sijakuuliza, basi CCM itadumu sana kwakweli