Birthday yangu jf

matambo

JF-Expert Member
May 14, 2009
727
117
jamani leo mwenzenu nilikuwa nasheherekea besidei ya kuazimisha miaka miwili ya kuwa mwanachama wa jamii forums tangu mei 14 2009, napenda kukiri kuwa nimeelimika sana katika kipindi hiki na napenda kushukuru Mungu na wanachama wote kwa michango yao mbalimbali

kila la heri jamani tuwe wanachama wazuri tusiotumia lugha mbaya , tukubali kukosolewa na tupingane kwa hoja za msingi ili kuelimishana

kila la heri nyote
 
hongera mwenzangu. mi mwenzio ndo nimejiunga leo na nina uhakika ipo siku nami nitasheherekea kama wewe....
 
jamani leo mwenzenu nilikuwa nasheherekea besidei ya kuazimisha miaka miwili ya kuwa mwanachama wa jamii forums tangu mei 14 2009, napenda kukiri kuwa nimeelimika sana katika kipindi hiki na napenda kushukuru Mungu na wanachama wote kwa michango yao mbalimbali

kila la heri jamani tuwe wanachama wazuri tusiotumia lugha mbaya , tukubali kukosolewa na tupingane kwa hoja za msingi ili kuelimishana

kila la heri nyote



Happy Birthday..
 
jamani leo mwenzenu nilikuwa nasheherekea besidei ya kuazimisha miaka miwili ya kuwa mwanachama wa jamii forums tangu mei 14 2009, napenda kukiri kuwa nimeelimika sana katika kipindi hiki na napenda kushukuru Mungu na wanachama wote kwa michango yao mbalimbali

kila la heri jamani tuwe wanachama wazuri tusiotumia lugha mbaya , tukubali kukosolewa na tupingane kwa hoja za msingi ili kuelimishana

kila la heri nyote

Muda wote huo umejifunza nini?
 
Back
Top Bottom