jamani leo mwenzenu nilikuwa nasheherekea besidei ya kuazimisha miaka miwili ya kuwa mwanachama wa jamii forums tangu mei 14 2009, napenda kukiri kuwa nimeelimika sana katika kipindi hiki na napenda kushukuru Mungu na wanachama wote kwa michango yao mbalimbali
kila la heri jamani tuwe wanachama wazuri tusiotumia lugha mbaya , tukubali kukosolewa na tupingane kwa hoja za msingi ili kuelimishana
kila la heri nyote
kila la heri jamani tuwe wanachama wazuri tusiotumia lugha mbaya , tukubali kukosolewa na tupingane kwa hoja za msingi ili kuelimishana
kila la heri nyote