kweli shost wangu umenipambia sherehe yangu ipasavyo jamani jamani so funny.
umentusi au?naona mbwa hapohappy born day DOG
nilifika salama salimini jamani nawashukuru sana kwa ujio wenu na maandalizi mazuri ya vyakula ,sala na vinywaji bila kusahahu nasaha na maneno matamu kutoka kwenu ,namshukuru pia muandaaji wa party yangu KakaKiiza OH ALINIFWANYIA SUPRISE KWA KWELI.tena asanteni sana.yule bazazi alikufikisha home salama?
asante kwa kunipigania twin.......huna hata heshima yakuongea na ndugu zangu huyo ni shemeji aka FP twin wangu haya bathidei party imekwisha na wewe talaka hiyo
hahahahaahahaah
dah natumia mac apple..lakn nitakupatia Avast..hiyo kaspersky..itakuzinguaHumu naona kunahitajika Anti virus naomba kaspersky please do the needful