Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Dec 11, 2012 #1 Osheni macho kuachana na mambo ya mademu Attachments hoopoe.png 33.7 KB · Views: 3,795
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Dec 11, 2012 Thread starter #2 Umewahi kutafakari kuhusu ndege?
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Dec 11, 2012 Thread starter #4 alllaaaaaaaaassssssss
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Dec 11, 2012 Thread starter #5 Mnaukumbuka ule wimbo wa hata Njiwa ana mpenzi kwenye tundu???
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Dec 11, 2012 Thread starter #6 Hawa wako Kiyangayanga zaidi lakini sio mbaya
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Dec 11, 2012 Thread starter #7 huyu kwa kifupi anaitwa silent killer, mzee wa kutega mingo
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Dec 11, 2012 Thread starter #8 wooooooooow,.......angekuwa demu mngechangia .
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Dec 11, 2012 Thread starter #9 Wako Bongo hawa??????
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Dec 11, 2012 Thread starter #10 amazing this creator
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Dec 11, 2012 Thread starter #11 kidogo afanane na Bujibuji
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Dec 11, 2012 Thread starter #13 macho kodo.............
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Dec 11, 2012 Thread starter #15 ndege wa angani hawapandi, hawavuni wala hawakusanyi ghalani, wanaishi na kuzailiana kila uchao, wanapendeza sana
ndege wa angani hawapandi, hawavuni wala hawakusanyi ghalani, wanaishi na kuzailiana kila uchao, wanapendeza sana
Lily Flower JF-Expert Member Oct 16, 2009 2,553 1,197 Dec 11, 2012 #16 Ndege wazuri asante kwa kutuosha macho.
Goodrich JF-Expert Member Jan 29, 2012 2,091 1,177 Dec 11, 2012 #17 Nimeipenda, weka na majina yao basi
TAJIRI MKUU WA MATAJIRI JF-Expert Member Dec 1, 2010 5,712 10,205 Dec 11, 2012 #18 ndege mzuri kishenzi Amavubi said: View attachment 74501 wooooooooow,.......angekuwa demu mngechangia . Click to expand...
ndege mzuri kishenzi Amavubi said: View attachment 74501 wooooooooow,.......angekuwa demu mngechangia . Click to expand...
CAMARADERIE JF-Expert Member Mar 3, 2011 4,419 1,920 Dec 11, 2012 #19 Amavubi said: View attachment 74495 Umewahi kutafakari kuhusu ndege? Click to expand... Mara nyingi dume hupendeza kuliko jike..........ANGALIA HATA KUKU WAKO nyumbani..jogoo lazima liko soap soap kuliko mtetea Na ndege wa maeneo ya tropiki wanapendeza sana kutokana na uhakika mkubwa wa chakula kuliko wa maeneo mengine
Amavubi said: View attachment 74495 Umewahi kutafakari kuhusu ndege? Click to expand... Mara nyingi dume hupendeza kuliko jike..........ANGALIA HATA KUKU WAKO nyumbani..jogoo lazima liko soap soap kuliko mtetea Na ndege wa maeneo ya tropiki wanapendeza sana kutokana na uhakika mkubwa wa chakula kuliko wa maeneo mengine