View attachment 74498
Mnaukumbuka ule wimbo wa hata Njiwa ana mpenzi kwenye tundu???
View attachment 74499
Hawa wako Kiyangayanga zaidi lakini sio mbaya
Hata kwetu wapo...........Ikulu!View attachment 74506
macho kodo.............
sasa si halifanyi kazi saa ngapi litachafuka,kazi kuzurura na kula kula tu.asante kwa picha.Mara nyingi dume hupendeza kuliko jike..........ANGALIA HATA KUKU WAKO nyumbani..jogoo lazima liko soap soap kuliko mtetea
![]()
Na ndege wa maeneo ya tropiki wanapendeza sana kutokana na uhakika mkubwa wa chakula kuliko wa maeneo mengine![]()
View attachment 74506
macho kodo.............
waliuzwa sana wakati fulani ikalazimika tufanye sensa wamebaki wangapi, kuna mgeni hakuamini kama wako kiasilia alipowaona wanaranda maeneo ya Ikulu, huyo hapo ni dume kwani kwa asili ndege sume huvutia kuliko jike tazama mfano wa njiwa majike ndiyo hutongoza dumeHata kwetu wapo...........Ikulu!
Woooooooooooh i like it. .. Acheni Mungu aitwe Mungu
huyu anapatikana sana milima ya Uluguru anaitwa African Hoopoe, hiyo ni generic names lakini wana scientifi names zao amabpo kutaja inabidi uwe na mafuta ya alizeti mdomoni usije kujing'ata, wale wa Kiaski anaonekana sana baada tu ya stesheni, wana mingo zao nao hawaView attachment 74494
Osheni macho kuachana na mambo ya mademu